003KtkBib02aShh5jan17 Shehe katika Biblia. 192
View 01
Katika
Biblia shehe/neno ‘shehe’ limetajwa mara 25 katika Biblia yote.
Kwenye kitabu cha
1Samweli, mara 10, Nehemia, mara 9.
|
Aya.
|
Mwonekano.
|
Aliyesema kuhusu
‘shehe’.
|
|
|
‘shehe’
adui / asiye pamoja na Israeli / kinyume na Israeli.
|
|||
.1.
|
Yosh 13:3,21.
1Samw 6:16,17.
1Samwi 29:2,7.
|
Inaonesha ‘shehe’ si mtu
bali ni taifa/kundi.
|
Mungu via Yoshua.
Mwandishi, Samweli.
Mwandishi, Nabii Gadi.
|
|
.2.
|
Yosh 17:4.
|
Hakuna mwonekano dhahiri
kuwa ni watu Fulani husika au laa.
|
Mwandishi – Yoshua.
|
|
.3.
.
.
.
.5.
|
1Samw 5:8,11, 6:12,16.
|
Inaonekana ‘shehe’ ni
viongozi/kiongozi.
|
Mwandishi – Samweli.
|
|
1Samw 6:12, 7:7.
|
Hadi kwa Wafilisti kuna
mashehe.
|
|||
1Samw 6:4,4.
|
Mashehe nao hupigwa na
Mungu.
|
|||
|
Aya.
|
Mwonekano.
|
Aliyesema kuhusu ‘shehe’.
|
|
|
‘shehe’
asiye adui / aliye pamoja na Israeli.
|
|||
.4.
|
1Nyak 7:40.
2Nyak 1:2.
Neh 5:16, 12:40.
Neh 7:5.
|
Inaonesha ‘shehe’ si mtu
bali ni taifa.
|
Mwandishi, Ezra.
Sulemani.
Nehemia.
Mungu.
|
|
.5.
|
Ezra 9:2.
|
Inaonekana ‘shehe’ ni
viongozi/kiongozi.
|
Mwandishi, Ezra.
|
|
Neh2:16,4:14,19,
5:7,13:11.
|
Hadi kwa Wafilisti kuna
mashehe.
|
|||
Neh 5:7, 13:11.
|
Mashehe nao hufanya
yasiyo mazuri kwa Mungu.
|
|||
Neh 2:16.
|
Shehe hakuheshimiwa
sana.
|
|||
Neh 4:14.
|
Shehe kutiwa moyo.
|
Rejea za Biblia.
-->Joshua 13:3 kutoka Shihori, hicho kijito
kilichokabili Misri, hata mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini, nchi
inayohesabiwa kuwa ni ya hao Wakanaani; mashehe matano wa hao Wafilisti;
Wagaza, na Waashdodi, na Waashkeloni, na Wagiti, na Waekroni; tena Waavi,
-->Joshua 13:21 na miji yote ya nchi tambarare, na
ufalme wote wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akitawala katika Heshboni,
aliyepigwa na Musa pamoja na hao wakubwa wa Midiani, nao ni Evi, na Rekemu,
na Suri, na Huri, na Reba, hao mashehe wa Sihoni, waliokuwa katika nchi hiyo.
Joshua 17:4 Nao wakakaribia mbele ya Eleazari, kuhani, na
mbele ya Yoshua, mwana wa Nuni, na mbele ya mashehe, wakasema, Bwana
alimwamuru Musa kutupa sisi urithi kati ya ndugu zetu; basi kwa kuiandama
hiyo amri ya Bwana akawapa urithi kati ya ndugu za baba yao.
1 Samweli 5:8 Basi wakatuma
watu waende kuwakusanya kwao mashehe wote wa Wafilisti, wakasema,
Tulifanyieje sanduku la Mungu wa Israeli? Nao wakajibu, Sanduku la Mungu wa
Israeli na lihamishwe liende Gathi. Wakalihamisha sanduku la Mungu wa
Israeli.
1 Samweli 5:11 Kwa hiyo
wakatuma watu waende kuwakusanya mashehe wote wa Wafilisti, wakasema,
Liondoeni hilo sanduku la Mungu wa Israeli, liende tena mahali pake, ili
lisituue sisi, wala watu wetu; kwa sababu kulikuwa na fadhaa kubwa sana mjini
mwote; mkono wa Mungu ulikuwa mzito mno huko.
1 Samweli 6:4 Ndipo wakauliza,
Na hayo matoleo ya kosa yatakuwa ya namna gani, hayo tutakayompelekea? Nao
wakajibu, Na yawe majipu ya dhahabu matano, na panya wa dhahabu watano,
sawasawa na idadi ya mashehe wa Wafilisti; kwa kuwa tauni moja ilikuwa juu
yenu nyote, na juu ya mashehe wenu.
1 Samweli 6:12 Na hao ng'ombe
wakashika njia moja kwa moja kwenda Beth-shemeshi; wakaiandama njia ya
barabara, wakaenda wakilia, lakini hawakugeukia upande wa kuume wala wa
kushoto; na mashehe wa Wafilisti wakawafuata hata kuufikia mpaka wa
Beth-shemeshi.
1 Samweli 6:16 Na hao mashehe
watano wa Wafilisti, hapo walipokwisha kuyaona hayo, walirejea Ekroni siku
iyo hiyo.
1 Samweli 6:18 na panya wa
dhahabu, kwa idadi ya miji yote ya Wafilisti, milki zao wale mashehe watano,
miji yenye maboma na vijiji vya mashamba pia. Nalo lile jiwe kubwa, ambalo
juu yake waliliweka sanduku la Bwana, liko hata hivi leo hapo kondeni pa
Yoshua wa Beth-shemeshi.
1 Samweli 7:7 Hata Wafilisti
waliposikia ya kuwa wana wa Israeli wamekusanyika huko Mispa, mashehe wa
Wafilisti walipanda juu ili kupigana na Israeli. Nao wana wa Israeli
waliposikia, wakawaogopa Wafilisti.
1 Samweli 29 2 Nao mashehe wa
Wafilisti wakapita mbele, mia kwa mia, na elfu kwa elfu; naye Daudi na watu
wake wakapita wa mwisho pamoja na Akishi.
1 Samweli 29:7 Basi sasa
urudi, uende zako kwa amani, ili usiwachukize hao mashehe wa Wafilisti.
1 Mambo ya Nyakati 7:40 Hao
wote ndio wana wa Asheri, wakuu wa mbari za baba zao, watu wateule, hodari wa
vita, wakuu wa mashehe. Na hesabu yao waliojumlishwa kwa vizazi vyao kwenda
vitani walikuwa watu ishirini na sita elfu.
2 Mambo ya Nyakati 1:2
Sulemani akasema na Israeli wote, na maakida wa maelfu, na wa mamia, na
waamuzi, na kila shehe wa Israeli wote, wakuu wa nyumba za mababa.
Ezra 9:2 Maana wametwaa binti
zao kuwa wake zao, na wake za watoto wao; basi mbegu takatifu wamejichanganya
na watu wa nchi hizi; naam, mkono wa wakuu na mashehe umetangulia katika kosa
hili.
Nehemia 2:16 Wala mashehe
hawakujua nilikokwenda, wala nilivyotenda; wala sijawaambia Wayahudi, wala
makuhani, wala wakuu, wala mashehe, wala watu wengine waliokuwa wakiifanya
kazi hiyo. ------->2
Nehemia 4:14 Nikatazama,
nikaondoka, nikawaambia wakuu, na mashehe, na watu wengine waliobaki,
Msiwaogope; mkumbukeni Bwana, aliye mkuu mwenye kuogofya, mkawapiganie ndugu
zenu, na wana wenu, na binti zenu, na wake zenu, na nyumba zenu.
Nehemia 4:19 Nikawaambia
wakuu, na mashehe na watu wengine; Kazi hii ni nyingi, tena kubwa, nasi
tumetawanyika juu ya ukuta, kila mtu mbali na mwenzake;
Nehemia 5:7 Ndipo nikafanya shauri na nafsi yangu,
nikagombana na wakuu na mashehe, nikawaambia, Mnatoza watu riba, kila mtu
ndugu yake. Nikakutanisha mkutano mkubwa ili kushindana nao.
Nehemia 5:17 Pamoja na hayo
wakawako mezani pangu, katika Wayahudi na mashehe, watu mia na hamsini, zaidi
ya wale waliotujia kutoka kwa makafiri waliotuzunguka.
Nehemia 7:5 Mungu wangu
akanitia moyoni mwangu, kwamba niwakusanye wakuu na mashehe, na watu, ili
wahesabiwe kwa nasaba. Nikakiona kitabu cha vizazi vya hao waliokwea hapo
kwanza, nikaona ya kwamba imeandikwa humo;
Nehemia 12:40 Ndivyo
walivyosimama mikutano miwili yao walioshukuru nyumbani mwa Mungu, na mimi,
na nusu ya mashehe pamoja nami;
Nehemia 13:11 Ndipo
nikagombana na mashehe, nikasema, Mbona nyumba ya Mungu imeachwa? Kisha
nikawakusanya, nikawaweka mahali pao.
|
àShehena.
Yona 1:5 Basi wale mabaharia wakaogopa, kila mtu
akamwomba mungu wake; nao wakatupa baharini shehena iliyokuwa merikebuni, ili
kuupunguza uzito wake. Lakini Yona alikuwa ameshuka hata pande za ndani za
merikebu; akajilaza, akapata usingizi.
Matendo ya Mitume 21:3 Na
tulipoona Kipro tukaiacha upande wa kushoto; tukasafiri mpaka Shamu tukashuka
Tiro. Kwa maana huko ndiko merikebu yetu itakakoshusha shehena yake.
Matendo ya Mitume 27:10 akawaambia, Wanaume, naona kwamba safari hii
itakuwa na madhara na hasara nyingi, si ya shehena na merikebu tu, ila na ya
maisha yetu pia.
Matendo ya Mitume 27:18 Na kwa
maana tulikuwa tukipigwa sana na ile tufani, siku ya pili yake wakaanza
kuitupa shehena baharini.
Matendo ya Mitume 27:38 Walipokwisha kushiba wakaipunguza
shehena ya merikebu, wakiitupa ngano baharini.
|
View 02.
Katika Biblia shehe/neno ‘shehe’ limetajwa mara 25 katika Biblia yote.
Kwenye kitabu cha 1Samweli, mara 10, Nehemia, mara 9.
Aya.
|
Mwonekano.
|
Aliyesema kuhusu ‘shehe’.
|
Aya.
|
Mwonekano.
|
Aliyesema kuhusu ‘shehe’.
|
|||
‘shehe’ adui / asiye pamoja na Israeli
/ kinyume na Israeli.
|
‘shehe’ asiye adui / aliye pamoja na
Israeli.
|
|||||||
.1.
|
Yosh 13:3,21.
1Samw 6:16,17.
1Samwi 29:2,7.
|
Inaonesha ‘shehe’ si mtu bali ni taifa/kundi.
|
Mungu via Yoshua.
Mwandishi, Samweli.
Mwandishi, Nabii Gadi.
|
.4.
|
1Nyak 7:40.
2Nyak 1:2.
Neh 5:16, 12:40.
Neh 7:5.
|
Inaonesha ‘shehe’ si mtu bali ni taifa.
|
Mwandishi, Ezra.
Sulemani.
Nehemia.
Mungu.
|
|
.2.
|
Yosh 17:4.
|
Hakuna mwonekano dhahiri kuwa ni watu Fulani husika
au laa.
|
Mwandishi – Yoshua.
|
.5.
|
Ezra 9:2.
|
Inaonekana ‘shehe’ ni viongozi/kiongozi.
|
Mwandishi,
Ezra.
|
|
Neh2:16,4:14,19,
5:7,13:11.
|
Hadi kwa Wafilisti kuna mashehe.
|
|||||||
.3.
.
.
.
.5.
|
1Samw 5:8,11, 6:12,16.
|
Inaonekana ‘shehe’ ni viongozi/kiongozi.
|
Mwandishi –
Samweli.
|
Neh 5:7, 13:11.
|
Mashehe nao hufanya yasiyo mazuri kwa Mungu.
|
|||
1Samw 6:12, 7:7.
|
Hadi kwa Wafilisti kuna mashehe.
|
|||||||
Neh 2:16.
|
Shehe hakuheshimiwa sana.
|
|||||||
1Samw 6:4,4.
|
Mashehe nao hupigwa na Mungu.
|
|||||||
Neh 4:14.
|
Shehe kutiwa moyo.
|
Rejea za Biblia.
-->Joshua 13:3 kutoka Shihori, hicho kijito
kilichokabili Misri, hata mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini, nchi
inayohesabiwa kuwa ni ya hao Wakanaani; mashehe matano wa hao Wafilisti;
Wagaza, na Waashdodi, na Waashkeloni, na Wagiti, na Waekroni; tena Waavi,
-->Joshua 13:21 na miji yote ya nchi tambarare, na
ufalme wote wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akitawala katika Heshboni,
aliyepigwa na Musa pamoja na hao wakubwa wa Midiani, nao ni Evi, na Rekemu, na
Suri, na Huri, na Reba, hao mashehe wa Sihoni, waliokuwa katika nchi hiyo.
Joshua 17:4 Nao wakakaribia mbele ya Eleazari, kuhani, na
mbele ya Yoshua, mwana wa Nuni, na mbele ya mashehe, wakasema, Bwana alimwamuru
Musa kutupa sisi urithi kati ya ndugu zetu; basi kwa kuiandama hiyo amri ya
Bwana akawapa urithi kati ya ndugu za baba yao.
1 Samweli 5:8 Basi wakatuma watu
waende kuwakusanya kwao mashehe wote wa Wafilisti, wakasema, Tulifanyieje
sanduku la Mungu wa Israeli? Nao wakajibu, Sanduku la Mungu wa Israeli na
lihamishwe liende Gathi. Wakalihamisha sanduku la Mungu wa Israeli.
1 Samweli 5:11 Kwa hiyo wakatuma
watu waende kuwakusanya mashehe wote wa Wafilisti, wakasema, Liondoeni hilo
sanduku la Mungu wa Israeli, liende tena mahali pake, ili lisituue sisi, wala
watu wetu; kwa sababu kulikuwa na fadhaa kubwa sana mjini mwote; mkono wa Mungu
ulikuwa mzito mno huko.
1 Samweli 6:4 Ndipo wakauliza,
Na hayo matoleo ya kosa yatakuwa ya namna gani, hayo tutakayompelekea? Nao
wakajibu, Na yawe majipu ya dhahabu matano, na panya wa dhahabu watano,
sawasawa na idadi ya mashehe wa Wafilisti; kwa kuwa tauni moja ilikuwa juu yenu
nyote, na juu ya mashehe wenu.
1 Samweli 6:12 Na hao ng'ombe
wakashika njia moja kwa moja kwenda Beth-shemeshi; wakaiandama njia ya
barabara, wakaenda wakilia, lakini hawakugeukia upande wa kuume wala wa
kushoto; na mashehe wa Wafilisti wakawafuata hata kuufikia mpaka wa
Beth-shemeshi.
1 Samweli 6:16 Na hao mashehe
watano wa Wafilisti, hapo walipokwisha kuyaona hayo, walirejea Ekroni siku iyo
hiyo.
1 Samweli 6:18 na panya wa
dhahabu, kwa idadi ya miji yote ya Wafilisti, milki zao wale mashehe watano,
miji yenye maboma na vijiji vya mashamba pia. Nalo lile jiwe kubwa, ambalo juu
yake waliliweka sanduku la Bwana, liko hata hivi leo hapo kondeni pa Yoshua wa
Beth-shemeshi.
1 Samweli 7:7 Hata Wafilisti
waliposikia ya kuwa wana wa Israeli wamekusanyika huko Mispa, mashehe wa
Wafilisti walipanda juu ili kupigana na Israeli. Nao wana wa Israeli
waliposikia, wakawaogopa Wafilisti.
1 Samweli 29 2 Nao mashehe wa
Wafilisti wakapita mbele, mia kwa mia, na elfu kwa elfu; naye Daudi na watu
wake wakapita wa mwisho pamoja na Akishi.
1 Samweli 29:7 Basi sasa urudi,
uende zako kwa amani, ili usiwachukize hao mashehe wa Wafilisti.
1 Mambo ya Nyakati 7:40 Hao wote
ndio wana wa Asheri, wakuu wa mbari za baba zao, watu wateule, hodari wa vita,
wakuu wa mashehe. Na hesabu yao waliojumlishwa kwa vizazi vyao kwenda vitani
walikuwa watu ishirini na sita elfu.
2 Mambo ya Nyakati 1:2 Sulemani
akasema na Israeli wote, na maakida wa maelfu, na wa mamia, na waamuzi, na kila
shehe wa Israeli wote, wakuu wa nyumba za mababa.
Ezra 9:2 Maana wametwaa binti
zao kuwa wake zao, na wake za watoto wao; basi mbegu takatifu wamejichanganya
na watu wa nchi hizi; naam, mkono wa wakuu na mashehe umetangulia katika kosa
hili.
Nehemia 2:16 Wala mashehe
hawakujua nilikokwenda, wala nilivyotenda; wala sijawaambia Wayahudi, wala
makuhani, wala wakuu, wala mashehe, wala watu wengine waliokuwa wakiifanya kazi
hiyo. ------->2
Nehemia 4:14 Nikatazama,
nikaondoka, nikawaambia wakuu, na mashehe, na watu wengine waliobaki, Msiwaogope;
mkumbukeni Bwana, aliye mkuu mwenye kuogofya, mkawapiganie ndugu zenu, na wana
wenu, na binti zenu, na wake zenu, na nyumba zenu.
Nehemia 4:19 Nikawaambia wakuu,
na mashehe na watu wengine; Kazi hii ni nyingi, tena kubwa, nasi tumetawanyika
juu ya ukuta, kila mtu mbali na mwenzake;
Nehemia 5:7 Ndipo nikafanya shauri na nafsi yangu,
nikagombana na wakuu na mashehe, nikawaambia, Mnatoza watu riba, kila mtu ndugu
yake. Nikakutanisha mkutano mkubwa ili kushindana nao.
Nehemia 5:17 Pamoja na hayo
wakawako mezani pangu, katika Wayahudi na mashehe, watu mia na hamsini, zaidi
ya wale waliotujia kutoka kwa makafiri waliotuzunguka.
Nehemia 7:5 Mungu wangu akanitia
moyoni mwangu, kwamba niwakusanye wakuu na mashehe, na watu, ili wahesabiwe kwa
nasaba. Nikakiona kitabu cha vizazi vya hao waliokwea hapo kwanza, nikaona ya
kwamba imeandikwa humo;
Nehemia 12:40 Ndivyo
walivyosimama mikutano miwili yao walioshukuru nyumbani mwa Mungu, na mimi, na
nusu ya mashehe pamoja nami;
Nehemia 13:11 Ndipo nikagombana
na mashehe, nikasema, Mbona nyumba ya Mungu imeachwa? Kisha nikawakusanya,
nikawaweka mahali pao.
àShehena.
Yona 1:5 Basi wale mabaharia wakaogopa, kila mtu akamwomba
mungu wake; nao wakatupa baharini shehena iliyokuwa merikebuni, ili kuupunguza
uzito wake. Lakini Yona alikuwa ameshuka hata pande za ndani za merikebu;
akajilaza, akapata usingizi.
Matendo ya Mitume 21:3 Na
tulipoona Kipro tukaiacha upande wa kushoto; tukasafiri mpaka Shamu tukashuka
Tiro. Kwa maana huko ndiko merikebu yetu itakakoshusha shehena yake.
Matendo ya Mitume 27:10 akawaambia, Wanaume, naona kwamba safari hii
itakuwa na madhara na hasara nyingi, si ya shehena na merikebu tu, ila na ya
maisha yetu pia.
Matendo ya Mitume 27:18 Na kwa
maana tulikuwa tukipigwa sana na ile tufani, siku ya pili yake wakaanza kuitupa
shehena baharini.
Matendo ya Mitume 27:38 Walipokwisha kushiba wakaipunguza
shehena ya merikebu, wakiitupa ngano baharini.
Comments
Post a Comment