006Ubatizo.

006Ubtz2/9jan17                                                    Ubatizo.

View 01.

Kuna ubatizo / mibatizo / mabatizo mingi/mengi!!!...?!. -->Waebrania 6:1,2
Waebrania 6:1 Kwa sababu hiyo, tukiacha kuyanena mafundisho ya kwanza ya Kristo, tukaze mwendo ili tuufikilie utimilifu; tusiweke msingi tena wa kuzitubia kazi zisizo na uhai, na wa kuwa na imani kwa Mungu, :2 na wa mafundisho ya mabatizo, na kuwekea mikono, na kufufuliwa wafu, na hukumu ya milele.

+-------------+++++++++----------------++--->
1/7
+-------------+++++++++----------------++
Ubatizo kwa maana ya kibiblia.hakuna maana ya moja kwa moja iliyotolewa (kwa uwazi).  Anayejua maana aseme.
--->Kusema ubatizo wa maji mengi au machache vyote ni sawa si kweli. Na hatakama ni sawa, Ukweli ni kwamba kubatizwa ni kwa Roho Mtakatifu na ndo kwa moto kwa ushahidi wa andiko/kimaandiko.

Huyo aliyembatizaga Yesu haikuwa kazi yake. Wewe unayebatiza leo ni kazi yako hiyo?!. Wewe uliyebatizwa, aliyekubatiza ni kazi yake?!.
Wewe unayesema maji mengi au machache toa maandiko. Usiwe mtu unaye kariri ya watu na si ya Mungu.
Kwa Mtu anasema Yesu alibatizwa maji mengi.
->Hakuna uhakika kuwa maji ni mengi au laa (yaliyotumika kumbatizia/kumbatiza).
Eti kisa ni mtoni. Kwani mtoni haiwezekani maji machache/kidogo/ya kichwa?!.
Au kama ni ya kichwa wangelifanyia nyumbani ee?! haya, ila Yeye Yesu hakusema Ubatizwe maji mengi na isitoshe usimwige kila kitu ila msikilize kila kitu.
NB: Kuna tofauti kati ya kusikiliza na kuiga. Ukimwiga Yesu, si mbaya. Ila unamwigaje?.
Kama unamwiga Yesu kwakuwa alibatizwa,  basi iga na haya.       .i. Usioe (kwa mwanaume), kwa wakike sijui mimi.   .ii. Usiende shule,   .iii. Usisali kanisani n.k maana yote hakufanya.        .iv. Usikubali/usiwe mwanafunzi bali wewe ndo uwe mwalimu na uwe na wanafunzi (sasa sijui wao itakuaje maana nao kama wanamfata Yesu hawatakiwi wawe na mwalimu).   .v. Yesu alitumia sana kauli za 'Mimi nasema', na wewe tumia hizo kauli.   n.k <--- Huko ndo kuiga              Ila, kama unaiga machache, maana yake unaiga yale unayoyaweza wewe. Basi usiwalazimishe watu waige/wamwige pia. Pia, kama ni kwakuwa ulipenda wewe ndo ukaiga, usiwalazimishe wengine wapende.
Na kama hawatopenda kuiga usiwahukumu. Kama Yesu amesema iga hili, sawa. Ila kama hakusema, usimlaumu mtu na usijione kuwa wewe ni bora sana.
Kuiga so tatizo, ila inategemea unaiganini ili nini. Umeambiwa ubatizwe kwa maji yoyote?!. Wapi alisema. Au una/mna msingizia Mungu?!.
Mtu asiibuke na hoja zake bila maandiko. Yesu amesema/ametuambia/aliwaambia katika Mathayo 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;.
Sasa anayesema ubatizwe kwa jina lake ndo umwige?!. Yeye Yesu alibatizwa kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu?!. Haya tufanye kama umemwiga, utabatizwa kwa maji mengi. Je, utatumia jina la nani?!. Kama utatumia lake, sasa umebatizwa kwa jina au kwa maji?!. au kwa maji na kwa jina?!. kama ni kwa maji na kwa jina, umemwiga au umefanya yako?!.
Yeye amesema (Yeye, Yeye, Yeye Yesu amesema) Math 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
Hapo hajasema ata neno moja kuhusu kutumia maji yoyote/yeyote.

+-------------+++++++++----------------++--->2/7.
Ukitaka kujua hakuna haja ya kulumbana kuhusu ubatizo wa/kwa maji, jiulize na ujijibu.
Musa, Ayubu, Abramu (si Abrahamu)/Ibrahimu, Enoko,Eliya, Elisha, n.k. hao ni baadhi ya watumishi fulani wa Agano la kale,  Je, walibatizwa?!.  Je, kati ya hao, akinanani walimtokeaga Yesu mara ngapi (kuonesha wapo hai)?!. Je, walibatizwa?!.
Yeye Yohana Mbatizaji, yupo mbinguni au laa?!. Je, alibatizwa?!. Je, kabla ya Yohana kulikuwa na ubatizo?!. Kama haukuwepo, waliendaga wapi?!. Au basi hakuna umuhimu wa ubatizo kama bila kubatizwa unaenda Mbinguni maana imeonekana wameenda mbinguni.

+-------------+++++++++----------------++--->3/7.
Yesu kutamka kuhusu kupinga ubatizo wa maji kwa wazi. (Bila kujali ni maji mengi au machache).
.1. Math 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;         .2. Marko 10:39 Wakamwambia, Twaweza. Yesu akawaambia, Kikombe ninyweacho mimi mtakinywea, na ubatizo nibatizwao mimi mtabatizwa;    40 lakini habari ya kuketi mkono wangu wa kuume au mkono wangu wa kushoto si langu kuwapa, ila wao watapewa waliowekewa tayari.
Kama Yesu alibatizwa kwa maji mengi, hapo amesema, ata ukibatizwa kwa maji mengi unaweza usiende mbinguni. Ila hajasema kwamba usipobatizwa maji mengi utaenda mbinguni.
Marko 10:39. .1. Kumwiga Yesu so tatizo.    .2. Utakapomwiga Yesu usipoenda mbinguni, usishangae.   .3. Yawezekana kubatizwa kama alivyobatizwa Yesu.  .4. Kuenda mbinguni/kuwa mbinguni ni kwa waliowekewa tayari.

+-------------+++++++++----------------++---->4/7.
Kuhusu Yohana mbatizani.
.i. Hakuwa mtu mdogo. Math 11:11 Amin, nawaambieni, Hajaondokea mtu katika wazao wa wanawake aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji; walakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkuu kuliko yeye.
.ii. Mfalme Herode alimwona Yesu kuwa ni kama Yohana Mbatizaji. Math 14:1 Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,    2 Huyo ndiye Yohana Mbatizaji; amefufuka katika wafu; na kwa hiyo nguvu hizo zinatenda kazi ndani yake.+ Marko6:14.
.iii.  Na yeye Herode ndo ali mwuaga Math 14:8 Naye, huku akichochewa na mamaye, akasema, Nipe hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji. + Marko 6:24.
.iv. Watu wengine pia walimwona Yesu kuwa ni Yohana Mbatizaji. Math 16:14 Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii. + Marko 8:28, Luka 9:19.
.v. Yohana Mbatizaji alionekana kuwa na pepo. Luka 7:33.

.vi. Na huyo Yohana mbatizaji ndiye Eliya.
Math 17: 10 Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?   11 Naye akajibu, akawaambia, Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengeneza yote,     12 ila nawaambia, ya kwamba Eliya amekwisha kuja, wasimtambue, lakini wakamtenda yote waliyotaka. Vivyo hivyo Mwana wa Adamu naye yuaenda kuteswa kwao.     13 Ndipo wale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habari za Yohana Mbatizaji.
.vii. Yohana kutamka kwa uwazi kuhusu kupinga ubatizo wa maji.
Math 3:11 Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
==>> Marko 1:8, Luka 3:16, Yohana 1:26.

Maneno ya wazi ya nukuu za/ya Luka katika kitabu cha Matendo kutamka wazi kupinga ubatizo wa maji.
+-------------+++++++++----------------++
--->5/7.
+-------------+++++++++----------------++
.i. Matendo 1:5. 4 Hata alipokuwa amekutana nao aliwaagiza wasitoke Yerusalemu, bali waingoje ahadi ya Baba, ambayo mlisikia habari zake kwangu; 5 ya kwamba Yohana alibatiza kwa maji, bali ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu baada ya siku hizi chache.
.ii. Matendo 2:38-41, 8:11-19.  --> Kubatizwa kwa jina la Yesu. Maana imeonekana kwa maji hakuna kupata/kumpata/kumpokea Roho Mtakatifu.
.iii. Matendo 11:16.  ->Kubatizwa kwa Roho Mtakatifu.
Zaidi,
->Matendo 8:38-40 - Ukiamini, ata kwa maji utampokea Roho wa BWANA!. Lakini, hapo si kwamba ndo tumefundishwa, bali ni historia ya mtu.
->Matendo 9:17-19 - Sauli ambaye ndo Paulo alibatizwa kwa maji machache (kidogo). Paulo huyo ndiye aliyeandika zaidi nusu ya idadi ya nyaraka katika Agano jipya na Biblia kwa ujumla.
->Wasio Waisraeli nao walibatwa na wakampokea Roho Mtakatifu, Matendo 10:45-48.
NB: Si kwamba tumefundishwa hivyo kutoka kwa Yesu moja kwa moja. Soma kwa makini





+-------------+++++++++----------------++--->
6/7
+-------------+++++++++----------------++
Paulo kutamka kwa wazi kupinga ubatizo wa maji.
.i.   Matendo 19:1 Ikawa, Apolo alipokuwa Korintho, Paulo, akiisha kupita kati ya nchi za juu, akafika Efeso; akakutana na wanafunzi kadha wa kadha huko;   2 akawauliza, Je! Mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini? Wakamjibu, La, hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatukusikia.   3 Akawauliza, Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani? Wakasema, Kwa ubatizo wa Yohana.    4 Paulo akasema, Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja nyuma yake, yaani, Yesu. 5 Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu. 6 Na Paulo, alipokwisha kuweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao; wakaanza kunena kwa lugha, na kutabiri.
.ii. Warumi 6:3 Hamfahamu ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake?    4 Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima.
-->Hapo ndo tunapata maana ya ubatizo ikimaanisha kufunikwa/kuzama/kumalizika na kufunuliwa/kutoka/kuanza tena.
ni kwa kauli hii "4 Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima".
-->Ubatizo huu ni ubatizo wa tofauti na wa Yohana. Maana Kristo alikuwa bado hajafa.       + Wakolosai 2:12 Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.
.iii.   1Wakorinto 1:13 Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulibiwa kwa ajili yenu? Au je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?
14 Nashukuru, kwa sababu sikumbatiza mtu kwenu, ila Krispo na Gayo;    15 mtu asije akasema kwamba mlibatizwa kwa jina langu.    16 Tena naliwabatiza watu wa nyumbani mwa Stefana; zaidi ya hao, sijui kama nalimbatiza mtu ye yote mwingine.   17 Maana Kristo hakunituma ili nibatize, bali niihubiri Habari Njema; wala si kwa hekima ya maneno, msalaba wa Kristo usije ukabatilika.
Hapo Paulo mwenyewe anaweka wazi kuwa yeye si mbatizaji na amebatiza kwa Jina la Yesu kwa kusimama tu. Wakati wa harusi, msindikizaji, si Bwana harusi wala bi harusi.
.iv. Wagalatia 3:27 Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.

+-------------+++++++++----------------+++-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 1/9.
Ubatizo wa maji ulitoka kwa nani/nini/wapi?!.
Math 21:25 Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi? Ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, Tukisema, Ulitoka mbinguni, atatuambia, Mbona basi hamkumwamini?    26 Na tukisema, Ulitoka kwa wanadamu, twaogopa mkutano; maana watu wote wamwona Yohana kuwa ni nabii.    27 Wakamjibu Yesu wakasema, Hatujui. Naye akawaambia, Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa amri gani ninatenda haya.  + Marko 11:30, Luka 20:4.

+-------------+++++++++----------------++--->7/7+-------------+++++++++----------------++
Kama hujabatizwa/hutajabatizwa/hajabatizwa:-  .i. Mungu atakuwa na hasira nawe/nasi/naye.
Math 3:7 Hata alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazao wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?+ Luka 3:7.
.ii. Kinyume cha ulazima wa kubatizwa.

+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 2/9.  Mbatizaji sasa ni nani?!.
Math 3:11b "yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.". + Luka 3:16.
Yohana 1:24 Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.    25 Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?    26 Yohana akawajibu akisema, Mimi nabatiza kwa maji. Katikati yenu amesimama yeye msiyemjua ninyi. ...:34.
Mbatizaji ni Yesu.
Ata kipindikile alikuwa akibatiza:-
Yohana 3:22 Baada ya hayo Yesu na wanafunzi wake walikwenda mpaka nchi ya Uyahudi; akashinda huko pamoja nao, a kabatiza. Ukisoma mpaka mstari wa 36 itapendeza maana utaona Kazi ya kubatiza si ya Yohana na isitoshe Yesu alibatiza pia, Yoh 4:1.
Lakini Yoh 4:2 inasema Yesu hakubatiza. Ikionesha kwamba, aliwapa wanafunzi wake hiyo kazi. Na hapo ujue akili mwako kuwa Yesu anabatiza kwa Roho Mtakatifu (ni moto), na wakati  huo Roho Mtakatifu alikuwa hajaachiliwa.
Yesu alisema nikiondoka nitawaachia msaidizi. Weka hilo kichwani. Kwahiyo, walibatiza kwa uongozi wake ila muda wa kwake yeye haukuwa tayari. Utaona kuwa Yohana si kazi yake. yaani wanadamu kubatiza si kazi yenu/yetu/yao/yangu.
Kazi kutokuwa yako, si kwamba hutopewa.
Barabara zilizojengwa nyingi na zenye viwango na Mh. Dk. Magufuli tunasema ni yeye Magufuli hatusemi wachina n.k.
Kama mwombaji, ukimwombea mtu akapona, ni wewe umemponya au Yesu?!. Wamefanya wanafunzi wa Yesu (wamebatiza) kwa kutokana na Yesu hivyo ni Yesu amebatiza lakini si Yeye mwenyewe kama afanyavyo sasa.
Kumbuka tena, Ubatizo wa Yesu ni ambao hajabatiziwa. Amesema yeye, ata simsingizii kwa ushahidi wa maandiko.



+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 3/9. Kubatizwa ni lazima au laa?!.
.i.  Math 3:15 Yesu akajibu akamwambia, Kubali hivi sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote. Basi akamkubali.
Marko Luka Yohana
+ Luka 7:29 Na watu wote na watoza ushuru waliposikia hayo, waliikiri haki ya Mungu, kwa kuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.    30 Lakini, Mafarisayo na wana-sheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.
.ii.    Yesu naye alibatizwa.  Luka 3:21.
Ijapokuwa Yesu alibatizwa, ila, anasema, alivyobatizwa sivyo au anasema, ubatizo aliobatiziwa sie aliokuja nao ndo maana anasema 'nipasao kubaziwa' maanayake hajabatiziwa/hajabatiziwa ubatizo alokuja nao.
Luka 12:49 Nimekuja kutupa moto duniani; na ukiwa umekwisha washwa, ni nini nitakalo zaidi?    50 Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe!.
Ijapokuwa Yesu alibatizwa, aliyembatiza haikuwa kazi yake rasmi.
Yohana 1:24 Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.    25 Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?    26 Yohana akawajibu akisema, Mimi nabatiza kwa maji. Katikati yenu amesimama yeye msiyemjua ninyi. ...:34.
-->ubatizo ni lazima.
Marko 16:16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
+1Petro 1:21 - Unaokoa.

+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 4/9.     Vipi je, nikibatizwa ndo mbingu nishaiona/nishaifikia/nitaifikia / nitairithi/tutairithi?!!!...
Laa!... anayekuambia ndiyo, akupe andiko+. Mimi nakuambia hapana kwa maandiko. Mtu asiyetoa maandiko ujue anabahatisha katika imani na kukariri kuliko kuelewa yaani anatembea na mawazo ya watu so ya Mungu.  Marko 10:35 Na Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakamwendea, wakamwambia, Mwalimu, twataka utufanyie lo lote tutakalokuomba.    36 Akawaambia, Mwataka niwafanyie nini?    37 Wakamwambia, Utujalie sisi tuketi, mmoja mkono wako wa kuume, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika utukufu wako. 38 Yesu akawaambia, Hamjui mnaloliomba. Mwaweza kunywea kikombe ninyweacho mimi, au kubatizwa ubatizo nibatizwao mimi?    39 Wakamwambia, Twaweza. Yesu akawaambia, Kikombe ninyweacho mimi mtakinywea, na ubatizo nibatizwao mimi mtabatizwa; 40 lakini habari ya kuketi mkono wangu wa kuume au mkono wangu wa kushoto si langu kuwapa, ila wao watapewa waliowekewa tayari.



+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 5/9.  Je, watu wa zamani walibatizwa?!. (kabla ya Yohana Mbatizaji).
Hakuna msemo dhahiri kabisa, ila ni kama ndivyo. Lakini wana wa Israeli tu, labda kwakuwa walitoka nchi ya utumwa. Lakini vipi kwa waliofia huko?!. Mambo mengine, tumwachie Mungu.
1Wakorinto 10:1 Kwa maana, ndugu zangu, sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu; wote wakapita kati ya bahari;  2 wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari;
3 wote wakala chakula kile kile cha roho;  4 wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.



+-------------+++++++++----------------++
Swali NO:6/9.Kwanini tunabatizwa kwa Roho Mtakatifu?!.
Ni ili tuwe kitu kimoja katika Roho. Kwamaana hiyo hao waliobatizwa na asiye Roho huwa tofauti tofauti ndo maana utamkuta mzinzi, mlevi, na mwingine ameokoka. Wanakuwa tofauti tofauti.
Ndo maana ukienda kanisa hili unakuta kuna mtu aliyebatizwa maji mengi amejawa nguvu za Mungu na mwingine hajabatizwa maji mengi na amejawa nguvu za Mungu.
Ni kwakuwa wamebatizwa kwa Roho Mtakatifu ndo maana wa kitu kimoja na amahakika watashirikiana huduma na hawapingani. Hao wanaopingana, anayemwona mwenzake amepotea huyo hajabatizwa kwa Roho.     1Wakorinto 12:13 Kwa maana katika Roho mmoja sisi sote tulibatizwa kuwa mwili mmoja, kwamba tu Wayahudi, au kwamba tu Wayunani; ikiwa tu watumwa au ikiwa tu huru; nasi sote tulinyweshwa Roho mmoja.
Waefeso 4:5 Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja.



+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 7/9.  Kubatizwa kulitokana na nini?!.
Kulitokana na dhambi za wazazi wa kizazi hiki na kizazi kilichopita ambao walimwasi sana Mungu.
Sisi hatutahukumiwa kutokana na dhambi zao hatakama walikuwa wakimcha Mungu vyema. Ndo maana tunabatizwa. Huyo atakayehukumiwa ni ambaye hamkubali Mungu.     1Wakor 15:29 Au je! Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao?  30   Na sisi, kwa nini tumo hatarini kila saa?
Kwahiyo, kubatizwa kwetu kunatokana na dhambi za wazazi. Sasa, kwani Yesu si alikufa kwaajili ya dhambi zetu?! na si alizifuta?!.
Ndiyo, na alizifuta, ila zipi?!. Uzijue!. Kama ndo hivyo, watu wote wangelienda mbinguni.
Anayeamini kuwa Yesu alikufa kwaajili ya dhambi zetu lazima ataamini ubatizo.      Yesu alikufa kwaajili ya dhambi zetu kwa wale waaminio. Na mpaka nawe uhesabiwe huna dhambi kutokana na kufa kwake ni kutii alosema ikiwamo ubatizwe.



+-------------+++++++++----------------++ +-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 8/9. Kwanini Yohana alibatiza?!.
Soma kwa makini. Yohana 3:22 Baada ya hayo Yesu na wanafunzi wake walikwenda mpaka nchi ya Uyahudi; akashinda huko pamoja nao, akabatiza.   23 Yohana naye alikuwa akibatiza huko Ainoni, karibu na Salimu, kwa sababu huko kulikuwa na maji tele; na watu wakamwendea, wakabatizwa.
24 Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.
325 Basi palitokea mashindano ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja juu ya utakaso.     26 Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani, yeye uliyemshuhudia, tazama, huyo anabatiza na watu wote wanamwendea.    27 Yohana akajibu, akasema, Hawezi mtu kupokea neno lo lote isipokuwa amepewa kutoka mbinguni. 28 Ninyi wenyewe mwanishuhudia ya kwamba nalisema, Mimi siye Kristo, bali nimetumwa mbele yake.
29 Aliye naye bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi, yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia sana sauti yake bwana arusi.    30 Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.    31 Yeye ajaye kutoka juu, huyo yu juu ya yote. Yeye aliye wa dunia, asili yake ni ya dunia, naye anena mambo ya duniani. Yeye ajaye kutoka mbinguni yu juu ya yote.
32 Yale aliyoyaona na kuyasikia ndiyo anayoyashuhudia, wala hakuna anayeukubali ushuhuda wake.    33 Yeye aliyeukubali ushuhuda wake ametia muhuri ya kwamba Mungu ni kweli.    34 Kwa kuwa yeye aliyetumwa na Mungu huyanena maneno ya Mungu; kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.    35 Baba ampenda Mwana, naye amempa vyote mkononi mwake.    36 Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.
Kazi ya kubatiza haikuwa ya Yohana, alifanya kama kwenye harusi tuwaonavyo matron na patron.



+-------------+++++++++----------------++
Sijamaanisha kuwa ubatizo wa maji kabisa haupo, laa, ila ni maji yapi. Maana Yesu ni maji yaliyo hai. Sasa kwanini usibatizwe na Yeye?!. Wengine huwaita wapenzi wao kisima cha maji yaliyo hai, Wimbo ulio bora 4:15 Wewe ndiwe chemchemi ya bustani yangu, Kisima cha maji yaliyo hai, Vijito vya Lebanoni viendavyo kasi. Wengine humwita Mungu kisima cha maji yaliyo hai, Yeremia 17:13 Ee Bwana, tumaini la Israeli, wote wakuachao watatahayarika. Wao watakaojitenga nami wataandikwa katika mchanga, kwa sababu wamemwacha Bwana, kisima cha maji yaliyo hai.
Lakini soma kisa hiki kuanzia mwanzo hadi mwisho Yohana mlango wa nne… Na tafakari zaidi hapa:-
Yohana 4:10 Yesu akajibu, akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani akuambiaye, Nipe maji ninywe, ungalimwomba yeye, naye angalikupa maji yaliyo hai.   11 Yule mwanamke akamwambia, Bwana, huna kitu cha kutekea, na kisima ni kirefu; basi umeyapata wapi hayo maji yaliyo hai? 12 Je! Wewe u mkubwa kuliko baba yetu, Yakobo, aliyetupa kisima hiki, naye mwenyewe akanywa maji yake, na wanawe pia, na wanyama wake?
13 Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena; 14 walakini ye yote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.
Kipi bora, tubatizwe kwa maji yaliyohai au kwa maji ya mtoni au kwa maji ya bakuli au tunywe maji yaliyohai au tunywe maji ya mtoni au tunywe maji ya bakuli?!.
Bora kuzamishwa katika maji na kutoka, au kunywa maji?!. Je, huoni kama hapo ni rohoni na mwilini?!.
...Free To Ask...
Not anything but about God esp this Lsn.



Swali la mwishomwisho,
+-------------+++++++++----------------++
+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 9/9.
'Kama hatujaambiwa tubatize/tubatizwe kwa maji, mbona twafanya?!.
Jibu:- Bila kufanya mambo yawe magumu, Hivyo ni kumkiri Yesu mbele za watu. Ata aliyekufa pamoja na Yesu msalabani, si kwamba alibatizwa.
Au unataka ubatizwe uende motoni?!. Au ubatizwe uende mbinguni?!. au Usibatizwe uende mbinguni?!.
Je, wapi ndoa imesemwa ifungwe kanisani?!. Lakini twafanya kwa kuonesha tunaimani na Kristo.
Je, wapi umeambiwa umzike maiti kwa kumfanyia ibada na kumwekea msalba kaburini?!.
Lakini, twafanya kwa kuonesha tu wa-Kristo.
Kama neno limefunguliwa kwako, ni lako hilo, basi tujuze/twajuzana/wajuze kama halijafunguliwa/halijafunuliwa, mwachie Mungu kuliko umsingizie.
Neno kufunuliwa kwako kuwa lako si kwamba ndo lako tu.
192p








View 02.


Kuna ubatizo / mibatizo / mabatizo mingi/mengi!!!...?!. -->Waebrania 6:1,2

+-------------+++++++++----------------++--->1/7+-------------+++++++++----------------++
Ubatizo kwa maana ya kibiblia.hakuna maana ya moja kwa moja iliyotolewa (kwa uwazi).  Anayejua maana aseme.
     --->Kusema ubatizo wa maji mengi au machache vyote ni sawa si kweli. Na hatakama ni sawa, Ukweli ni kwamba kubatizwa ni kwa Roho Mtakatifu na ndo kwa moto kwa ushahidi wa andiko/kimaandiko.

Huyo aliyembatizaga Yesu haikuwa kazi yake. Wewe unayebatiza leo ni kazi yako hiyo?!. Wewe uliyebatizwa, aliyekubatiza ni kazi yake?!.
              Wewe unayesema maji mengi au machache toa maandiko. Usiwe mtu unaye kariri ya watu na si ya Mungu.
Kwa Mtu anasema Yesu alibatizwa maji mengi.
->Hakuna uhakika kuwa maji ni mengi au laa (yaliyotumika kumbatizia/kumbatiza).
 Eti kisa ni mtoni. Kwani mtoni haiwezekani maji machache/kidogo/ya kichwa?!.
              Au kama ni ya kichwa wangelifanyia nyumbani ee?! haya, ila Yeye Yesu hakusema Ubatizwe maji mengi na isitoshe usimwige kila kitu ila msikilize kila kitu.
NB: Kuna tofauti kati ya kusikiliza na kuiga. Ukimwiga Yesu, si mbaya. Ila unamwigaje?.
          Kama unamwiga Yesu kwakuwa alibatizwa,  basi iga na haya.       .i. Usioe (kwa mwanaume), kwa wakike sijui mimi.   .ii. Usiende shule,   .iii. Usisali kanisani n.k maana yote hakufanya.        .iv. Usikubali/usiwe mwanafunzi bali wewe ndo uwe mwalimu na uwe na wanafunzi (sasa sijui wao itakuaje maana nao kama wanamfata Yesu hawatakiwi wawe na mwalimu).   .v. Yesu alitumia sana kauli za 'Mimi nasema', na wewe tumia hizo kauli.   n.k <--- Huko ndo kuiga.
              Ila, kama unaiga machache, maana yake unaiga yale unayoyaweza wewe. Basi usiwalazimishe watu waige/wamwige pia. Pia, kama ni kwakuwa ulipenda wewe ndo ukaiga, usiwalazimishe wengine wapende.
Na kama hawatopenda kuiga usiwahukumu. Kama Yesu amesema iga hili, sawa. Ila kama hakusema, usimlaumu mtu na usijione kuwa wewe ni bora sana.
Kuiga so tatizo, ila inategemea unaiganini ili nini. Umeambiwa ubatizwe kwa maji yoyote?!. Wapi alisema. Au una/mna msingizia Mungu?!.
             Mtu asiibuke na hoja zake bila maandiko. Yesu amesema/ametuambia/aliwaambia katika Mathayo 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;.
Sasa anayesema ubatizwe kwa jina lake ndo umwige?!. Yeye Yesu alibatizwa kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu?!. Haya tufanye kama umemwiga, utabatizwa kwa maji mengi. Je, utatumia jina la nani?!. Kama utatumia lake, sasa umebatizwa kwa jina au kwa maji?!. au kwa maji na kwa jina?!. kama ni kwa maji na kwa jina, umemwiga au umefanya yako?!.
Yeye amesema (Yeye, Yeye, Yeye Yesu amesema) Math 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
Hapo hajasema ata neno moja kuhusu kutumia maji yoyote/yeyote.

+-------------+++++++++----------------++--->2/7.
Ukitaka kujua hakuna haja ya kulumbana kuhusu ubatizo wa/kwa maji, jiulize na ujijibu.
Musa, Ayubu, Abramu (si Abrahamu)/Ibrahimu, Enoko,Eliya, Elisha, n.k. hao ni baadhi ya watumishi fulani wa Agano la kale,  Je, walibatizwa?!.  Je, kati ya hao, akinanani walimtokeaga Yesu mara ngapi (kuonesha wapo hai)?!. Je, walibatizwa?!.
        Yeye Yohana Mbatizaji, yupo mbinguni au laa?!. Je, alibatizwa?!. Je, kabla ya Yohana kulikuwa na ubatizo?!. Kama haukuwepo, waliendaga wapi?!. Au basi hakuna umuhimu wa ubatizo kama bila kubatizwa unaenda Mbinguni maana imeonekana wameenda mbinguni.
+-------------+++++++++----------------++--->3/7.
Yesu kutamka kuhusu kupinga ubatizo wa maji kwa wazi. (Bila kujali ni maji mengi au machache).
.1. Math 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;         .2. Marko 10:39 Wakamwambia, Twaweza. Yesu akawaambia, Kikombe ninyweacho mimi mtakinywea, na ubatizo nibatizwao mimi mtabatizwa;    40 lakini habari ya kuketi mkono wangu wa kuume au mkono wangu wa kushoto si langu kuwapa, ila wao watapewa waliowekewa tayari.
                Kama Yesu alibatizwa kwa maji mengi, hapo amesema, ata ukibatizwa kwa maji mengi unaweza usiende mbinguni. Ila hajasema kwamba usipobatizwa maji mengi utaenda mbinguni.
Marko 10:39. .1. Kumwiga Yesu so tatizo.    .2. Utakapomwiga Yesu usipoenda mbinguni, usishangae.   .3. Yawezekana kubatizwa kama alivyobatizwa Yesu.  .4. Kuenda mbinguni/kuwa mbinguni ni kwa waliowekewa tayari.

+-------------+++++++++----------------++---->4/7.
Kuhusu Yohana mbatizani.
.i. Hakuwa mtu mdogo. Math 11:11 Amin, nawaambieni, Hajaondokea mtu katika wazao wa wanawake aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji; walakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkuu kuliko yeye.
         .ii. Mfalme Herode alimwona Yesu kuwa ni kama Yohana Mbatizaji. Math 14:1 Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,    2 Huyo ndiye Yohana Mbatizaji; amefufuka katika wafu; na kwa hiyo nguvu hizo zinatenda kazi ndani yake.+ Marko6:14.
.iii.  Na yeye Herode ndo ali mwuaga Math 14:8 Naye, huku akichochewa na mamaye, akasema, Nipe hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji. + Marko 6:24.
.iv. Watu wengine pia walimwona Yesu kuwa ni Yohana Mbatizaji. Math 16:14 Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii. + Marko 8:28, Luka 9:19.
.v. Yohana Mbatizaji alionekana kuwa na pepo. Luka 7:33.
.vi. Na huyo Yohana mbatizaji ndiye Eliya.
Math 17: 10 Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?   11 Naye akajibu, akawaambia, Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengeneza yote,     12 ila nawaambia, ya kwamba Eliya amekwisha kuja, wasimtambue, lakini wakamtenda yote waliyotaka. Vivyo hivyo Mwana wa Adamu naye yuaenda kuteswa kwao.     13 Ndipo wale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habari za Yohana Mbatizaji.
.vii. Yohana kutamka kwa uwazi kuhusu kupinga ubatizo wa maji.
 Math 3:11 Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
==>> Marko 1:8, Luka 3:16, Yohana 1:26.


Maneno ya wazi ya nukuu za/ya Luka katika kitabu cha Matendo kutamka wazi kupinga ubatizo wa maji.
+-------------+++++++++----------------++
--->5/7.
+-------------+++++++++----------------++
.i. Matendo 1:5. 4 Hata alipokuwa amekutana nao aliwaagiza wasitoke Yerusalemu, bali waingoje ahadi ya Baba, ambayo mlisikia habari zake kwangu; 5 ya kwamba Yohana alibatiza kwa maji, bali ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu baada ya siku hizi chache.
.ii. Matendo 2:38-41, 8:11-19.
 --> Kubatizwa kwa jina la Yesu. Maana imeonekana kwa maji hakuna kupata/kumpata/kumpokea Roho Mtakatifu.
.iii. Matendo 11:16.
->Kubatizwa kwa Roho Mtakatifu.
Zaidi,
->Matendo 8:38-40 - Ukiamini, ata kwa maji utampokea Roho wa BWANA!. Lakini, hapo si kwamba ndo tumefundishwa, bali ni historia ya mtu.
->Matendo 9:17-19 - Sauli ambaye ndo Paulo alibatizwa kwa maji machache (kidogo). Paulo huyo ndiye aliyeandika zaidi nusu ya idadi ya nyaraka katika Agano jipya na Biblia kwa ujumla.
->Wasio Waisraeli nao walibatwa na wakampokea Roho Mtakatifu, Matendo 10:45-48.

NB: Si kwamba tumefundishwa hivyo kutoka kwa Yesu moja kwa moja. Soma kwa makini.


+-------------+++++++++----------------++--->6/7+-------------+++++++++----------------++
Paulo kutamka kwa wazi kupinga ubatizo wa maji.
.i.   Matendo 19:1 Ikawa, Apolo alipokuwa Korintho, Paulo, akiisha kupita kati ya nchi za juu, akafika Efeso; akakutana na wanafunzi kadha wa kadha huko;   2 akawauliza, Je! Mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini? Wakamjibu, La, hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatukusikia.   3 Akawauliza, Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani? Wakasema, Kwa ubatizo wa Yohana.    4 Paulo akasema, Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja nyuma yake, yaani, Yesu. 5 Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu. 6 Na Paulo, alipokwisha kuweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao; wakaanza kunena kwa lugha, na kutabiri.
.ii. Warumi 6:3 Hamfahamu ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake?    4 Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima.
-->Hapo ndo tunapata maana ya ubatizo ikimaanisha kufunikwa/kuzama/kumalizika na kufunuliwa/kutoka/kuanza tena.
       ni kwa kauli hii "4 Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima".
-->Ubatizo huu ni ubatizo wa tofauti na wa Yohana. Maana Kristo alikuwa bado hajafa.       + Wakolosai 2:12 Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.
.iii.   1Wakorinto 1:13 Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulibiwa kwa ajili yenu? Au je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?
14 Nashukuru, kwa sababu sikumbatiza mtu kwenu, ila Krispo na Gayo;    15 mtu asije akasema kwamba mlibatizwa kwa jina langu.    16 Tena naliwabatiza watu wa nyumbani mwa Stefana; zaidi ya hao, sijui kama nalimbatiza mtu ye yote mwingine.   17 Maana Kristo hakunituma ili nibatize, bali niihubiri Habari Njema; wala si kwa hekima ya maneno, msalaba wa Kristo usije ukabatilika.
    Hapo Paulo mwenyewe anaweka wazi kuwa yeye si mbatizaji na amebatiza kwa Jina la Yesu kwa kusimama tu. Wakati wa harusi, msindikizaji, si Bwana harusi wala bi harusi.
.iv. Wagalatia 3:27 Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.


+-------------+++++++++----------------+++-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 1/9.
Ubatizo wa maji ulitoka kwa nani/nini/wapi?!.
Math 21:25 Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi? Ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, Tukisema, Ulitoka mbinguni, atatuambia, Mbona basi hamkumwamini?    26 Na tukisema, Ulitoka kwa wanadamu, twaogopa mkutano; maana watu wote wamwona Yohana kuwa ni nabii.    27 Wakamjibu Yesu wakasema, Hatujui. Naye akawaambia, Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa amri gani ninatenda haya.
+ Marko 11:30, Luka 20:4.



+-------------+++++++++----------------++--->7/7+-------------+++++++++----------------++
Kama hujabatizwa/hutabatizwa:-  .i. Mungu atakuwa na hasira nawe.
Math 3:7 Hata alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazao wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?+ Luka 3:7. 
.ii. Kinyume cha ulazima wa kubatizwa.

+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 2/9.  Mbatizaji sasa ni nani?!.
Math 3:11b "yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.". + Luka 3:16.
Yohana 1:24 Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.    25 Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?    26 Yohana akawajibu akisema, Mimi nabatiza kwa maji. Katikati yenu amesimama yeye msiyemjua ninyi. ...:34.
Mbatizaji ni Yesu.
Ata kipindikile alikuwa akibatiza:-
   Yohana 3:22 Baada ya hayo Yesu na wanafunzi wake walikwenda mpaka nchi ya Uyahudi; akashinda huko pamoja nao, a kabatiza. Ukisoma mpaka mstari wa 36 itapendeza maana utaona Kazi ya kubatiza si ya Yohana na isitoshe Yesu alibatiza pia, Yoh 4:1.
           Lakini Yoh 4:2 inasema Yesu hakubatiza. Ikionesha kwamba, aliwapa wanafunzi wake hiyo kazi. Na hapo ujue akili mwako kuwa Yesu anabatiza kwa Roho Mtakatifu (ni moto), na wakati  huo Roho Mtakatifu alikuwa hajaachiliwa.
              Yesu alisema nikiondoka nitawaachia msaidizi. Weka hilo kichwani. Kwahiyo, walibatiza kwa uongozi wake ila muda wa kwake yeye haukuwa tayari. Utaona kuwa Yohana si kazi yake. yaani wanadamu kubatiza si kazi yenu/yetu/yao/yangu.
Kazi kutokuwa yako, si kwamba hutopewa.
           Barabara zilizojengwa nyingi na zenye viwango na Mh. Dk. Magufuli tunasema ni yeye Magufuli hatusemi wachina n.k.
         Kama mwombaji, ukimwombea mtu akapona, ni wewe umemponya au Yesu?!. Wamefanya wanafunzi wa Yesu (wamebatiza) kwa kutokana na Yesu hivyo ni Yesu amebatiza lakini si Yeye mwenyewe kama afanyavyo sasa.
       Kumbuka tena, Ubatizo wa Yesu ni ambao hajabatiziwa. Amesema yeye, ata simsingizii kwa ushahidi wa maandiko.
+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 3/9. Kubatizwa ni lazima au laa?!.
.i.  Math 3:15 Yesu akajibu akamwambia, Kubali hivi sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote. Basi akamkubali.
    Marko Luka Yohana
+ Luka 7:29 Na watu wote na watoza ushuru waliposikia hayo, waliikiri haki ya Mungu, kwa kuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.    30 Lakini, Mafarisayo na wana-sheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.
.ii.    Yesu naye alibatizwa.  Luka 3:21.
Ijapokuwa Yesu alibatizwa, ila, anasema, alivyobatizwa sivyo au anasema, ubatizo aliobatiziwa sie aliokuja nao ndo maana anasema 'nipasao kubaziwa' maanayake hajabatiziwa/hajabatiziwa ubatizo alokuja nao.
      Luka 12:49 Nimekuja kutupa moto duniani; na ukiwa umekwisha washwa, ni nini nitakalo zaidi?    50 Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe!.
     Ijapokuwa Yesu alibatizwa, aliyembatiza haikuwa kazi yake rasmi.
     Yohana 1:24 Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.    25 Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?    26 Yohana akawajibu akisema, Mimi nabatiza kwa maji. Katikati yenu amesimama yeye msiyemjua ninyi. ...:34.
-->ubatizo ni lazima.
Marko 16:16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
+1Petro 1:21 - Unaokoa.


+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 4/9.     Vipi je, nikibatizwa ndo mbingu nishaiona/nishaifikia/nitaifikia / nitairithi/tutairithi?!!!...
     Laa!... anayekuambia ndiyo, akupe andiko+. Mimi nakuambia hapana kwa maandiko. Mtu asiyetoa maandiko ujue anabahatisha katika imani na kukariri kuliko kuelewa yaani anatembea na mawazo ya watu so ya Mungu.  Marko 10:35 Na Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakamwendea, wakamwambia, Mwalimu, twataka utufanyie lo lote tutakalokuomba.    36 Akawaambia, Mwataka niwafanyie nini?    37 Wakamwambia, Utujalie sisi tuketi, mmoja mkono wako wa kuume, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika utukufu wako. 38 Yesu akawaambia, Hamjui mnaloliomba. Mwaweza kunywea kikombe ninyweacho mimi, au kubatizwa ubatizo nibatizwao mimi?    39 Wakamwambia, Twaweza. Yesu akawaambia, Kikombe ninyweacho mimi mtakinywea, na ubatizo nibatizwao mimi mtabatizwa; 40 lakini habari ya kuketi mkono wangu wa kuume au mkono wangu wa kushoto si langu kuwapa, ila wao watapewa waliowekewa tayari.
+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 5/9.  Je, watu wa zamani walibatizwa?!. (kabla ya Yohana Mbatizaji).
       Hakuna msemo dhahiri kabisa, ila ni kama ndivyo. Lakini wana wa Israeli tu, labda kwakuwa walitoka nchi ya utumwa. Lakini vipi kwa waliofia huko?!. Mambo mengine, tumwachie Mungu.
1Wakorinto 10:1 Kwa maana, ndugu zangu, sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu; wote wakapita kati ya bahari;  2 wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari;
3 wote wakala chakula kile kile cha roho;  4 wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.



+-------------+++++++++----------------++
Swali NO:6/9.Kwanini tunabatizwa kwa Roho Mtakatifu?!.
            Ni ili tuwe kitu kimoja katika Roho. Kwamaana hiyo hao waliobatizwa na asiye Roho huwa tofauti tofauti ndo maana utamkuta mzinzi, mlevi, na mwingine ameokoka. Wanakuwa tofauti tofauti.
          Ndo maana ukienda kanisa hili unakuta kuna mtu aliyebatizwa maji mengi amejawa nguvu za Mungu na mwingine hajabatizwa maji mengi na amejawa nguvu za Mungu.
        Ni kwakuwa wamebatizwa kwa Roho Mtakatifu ndo maana wa kitu kimoja na amahakika watashirikiana huduma na hawapingani. Hao wanaopingana, anayemwona mwenzake amepotea huyo hajabatizwa kwa Roho.     1Wakorinto 12:13 Kwa maana katika Roho mmoja sisi sote tulibatizwa kuwa mwili mmoja, kwamba tu Wayahudi, au kwamba tu Wayunani; ikiwa tu watumwa au ikiwa tu huru; nasi sote tulinyweshwa Roho mmoja.
  Waefeso 4:5 Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja.

+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 7/9.  Kubatizwa kulitokana na nini?!.
     Kulitokana na dhambi za wazazi wa kizazi hiki na kizazi kilichopita ambao walimwasi sana Mungu.
Sisi hatutahukumiwa kutokana na dhambi zao hatakama walikuwa wakimcha Mungu vyema. Ndo maana tunabatizwa. Huyo atakayehukumiwa ni ambaye hamkubali Mungu.     1Wakor 15:29 Au je! Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao?  30   Na sisi, kwa nini tumo hatarini kila saa?
        Kwahiyo, kubatizwa kwetu kunatokana na dhambi za wazazi. Sasa, kwani Yesu si alikufa kwaajili ya dhambi zetu?! na si alizifuta?!.
        Ndiyo, na alizifuta, ila zipi?!. Uzijue!. Kama ndo hivyo, watu wote wangelienda mbinguni.
Anayeamini kuwa Yesu alikufa kwaajili ya dhambi zetu lazima ataamini ubatizo.      Yesu alikufa kwaajili ya dhambi zetu kwa wale waaminio. Na mpaka nawe uhesabiwe huna dhambi kutokana na kufa kwake ni kutii alosema ikiwamo ubatizwe.



+-------------+++++++++----------------++ +-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 8/9. Kwanini Yohana alibatiza?!.
Soma kwa makini. Yohana 3:22 Baada ya hayo Yesu na wanafunzi wake walikwenda mpaka nchi ya Uyahudi; akashinda huko pamoja nao, akabatiza.   23 Yohana naye alikuwa akibatiza huko Ainoni, karibu na Salimu, kwa sababu huko kulikuwa na maji tele; na watu wakamwendea, wakabatizwa. 
  24 Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.
325 Basi palitokea mashindano ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja juu ya utakaso.     26 Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani, yeye uliyemshuhudia, tazama, huyo anabatiza na watu wote wanamwendea.    27 Yohana akajibu, akasema, Hawezi mtu kupokea neno lo lote isipokuwa amepewa kutoka mbinguni. 28 Ninyi wenyewe mwanishuhudia ya kwamba nalisema, Mimi siye Kristo, bali nimetumwa mbele yake.
29 Aliye naye bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi, yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia sana sauti yake bwana arusi.    30 Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.    31 Yeye ajaye kutoka juu, huyo yu juu ya yote. Yeye aliye wa dunia, asili yake ni ya dunia, naye anena mambo ya duniani. Yeye ajaye kutoka mbinguni yu juu ya yote.  
32 Yale aliyoyaona na kuyasikia ndiyo anayoyashuhudia, wala hakuna anayeukubali ushuhuda wake.    33 Yeye aliyeukubali ushuhuda wake ametia muhuri ya kwamba Mungu ni kweli.    34 Kwa kuwa yeye aliyetumwa na Mungu huyanena maneno ya Mungu; kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.    35 Baba ampenda Mwana, naye amempa vyote mkononi mwake.    36 Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.
Kazi ya kubatiza haikuwa ya Yohana, alifanya kama kwenye harusi tuwaonavyo matron na patron.




+-------------+++++++++----------------++
Sijamaanisha kuwa ubatizo wa maji kabisa haupo, laa, ila ni maji yapi. Maana Yesu ni maji yaliyo hai. Sasa kwanini usibatizwe na Yeye?!. Wengine huwaita wapenzi wao kisima cha maji yaliyo hai, Wimbo ulio bora 4:15 Wewe ndiwe chemchemi ya bustani yangu, Kisima cha maji yaliyo hai, Vijito vya Lebanoni viendavyo kasi. Wengine humwita Mungu kisima cha maji yaliyo hai, Yeremia 17:13 Ee Bwana, tumaini la Israeli, wote wakuachao watatahayarika. Wao watakaojitenga nami wataandikwa katika mchanga, kwa sababu wamemwacha Bwana, kisima cha maji yaliyo hai.
Lakini soma kisa hiki kuanzia mwanzo hadi mwisho Yohana mlango wa nne… Na tafakari zaidi hapa:-
Yohana 4:10 Yesu akajibu, akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani akuambiaye, Nipe maji ninywe, ungalimwomba yeye, naye angalikupa maji yaliyo hai.   11 Yule mwanamke akamwambia, Bwana, huna kitu cha kutekea, na kisima ni kirefu; basi umeyapata wapi hayo maji yaliyo hai? 12 Je! Wewe u mkubwa kuliko baba yetu, Yakobo, aliyetupa kisima hiki, naye mwenyewe akanywa maji yake, na wanawe pia, na wanyama wake?
13 Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena; 14 walakini ye yote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.
Kipi bora, tubatizwe kwa maji yaliyohai au kwa maji ya mtoni au kwa maji ya bakuli au tunywe maji yaliyohai au tunywe maji ya mtoni au tunywe maji ya bakuli?!.
Bora kuzamishwa katika maji na kutoka, au kunywa maji?!. Je, huoni kama hapo ni rohoni na mwilini?!.
...Free To Ask...
Not anything but about God esp this Lsn.
Swali la mwishomwisho,
+-------------+++++++++----------------++
+-------------+++++++++----------------++
Swali NO: 9/9.
'Kama hatujaambiwa tubatize/tubatizwe kwa maji, mbona twafanya?!.
                Jibu:- Bila kufanya mambo yawe magumu, Hivyo ni kumkiri Yesu mbele za watu. Ata aliyekufa pamoja na Yesu msalabani, si kwamba alibatizwa.
Au unataka ubatizwe uende motoni?!. Au ubatizwe uende mbinguni?!. au Usibatizwe uende mbinguni?!.
Je, wapi ndoa imesemwa ifungwe kanisani?!. Lakini twafanya kwa kuonesha tunaimani na Kristo.
Je, wapi umeambiwa umzike maiti kwa kumfanyia ibada na kumwekea msalba kaburini?!.
Lakini, twafanya kwa kuonesha tu wa-Kristo.
Kama neno limefunguliwa kwako, ni lako hilo, basi tujuze/twajuzana/wajuze kama halijafunguliwa/halijafunuliwa, mwachie Mungu kuliko umsingizie.
Neno kufunuliwa kwako kuwa lako si kwamba ndo lako tu.

192p

Comments

  1. Slots, Casino & Hotel Near San Manuel (SANMANT)
    Mapyro Hotel 동해 출장마사지 and 포항 출장마사지 Casino. 495 W Charleston Blvd. S, San 순천 출장안마 Manuel, 익산 출장안마 CA 94930. Get Directions. (760) 852-7777. 포항 출장안마

    ReplyDelete

Post a Comment