VIEW 02.
Tathimini ya vitabu
vya Biblia. (Biblia isiyo na Vitabu vya Deuterokanoni). (1/7)
|
|||||
Agano la kale.
|
|||||
Kitabu cha
1-39.
|
Sura/
Milango.
|
Mistari.
|
Idadi ya maneno.
|
Waandishi/
Mwandishi.
|
Kuandikwa. Kabla ya Kristo. K.k.
|
.31.
Obadia.
|
1
|
21
|
502
|
Obadia.
|
840
|
.37.
Hagai.
|
2
|
38
|
967
|
Hagai.
|
520
|
.32.
Yona.
|
4
|
48
|
1,000
|
Yona
mwana wa Amitai.
|
760
|
.34.
Nahumu.
|
3
|
47
|
1,048
|
Nahumu
Mwelkoshi.
|
663 –
612.
|
.35.
Habakuki.
|
3
|
56
|
1,171
|
Habakuki.
|
612. - 605.
|
.36.
Sefania.
|
3
|
53
|
1,258
|
Sefania.
|
639-609.
|
.39. Malaki.
|
4
|
55
|
1,430
|
Malaki.
|
557- 525.
|
.29.
Yoel.
|
3
|
73
|
1,656
|
Yoel
mwana wa Pethueli.
|
830
|
.08.
Ruthu.
|
4
|
85
|
1,901
|
Yoshua,
Mwishoni:- Eleazari na Finehasi.
|
1646 –
1616.
|
.22.
Wimbo ulio bora.
|
8
|
117
|
2,081
|
Solomoni.
|
960
|
.33.
Mika.
|
7
|
105
|
2,437
|
Mika.
|
740-710.
|
.25.
Maombolezo.
|
5
|
154
|
2,601
|
Yeremia.
|
585 –
586.
|
.30.
Amosi.
|
9
|
146
|
3,304
|
Amosi.
|
760-755.
|
.28.
Hosea.
|
14
|
197
|
4,077
|
Hosea
mwana wa Beeri.
|
715-710.
|
.17.
Esta.
|
10
|
167
|
4,443
|
Ezra,
Modekai na Nehemia hasa Ezra.
|
486-465.
|
.21.
Mhubiri.
|
12
|
222
|
4,538
|
Solomoni.
|
935
|
.38.
Zekaria.
|
14
|
211
|
5,131
|
Zekaria.
|
520-470.
|
.15.
Ezra.
|
10
|
280
|
6,347
|
Ezra.
|
539 –
458.
|
.16.
Nehemia.
|
13
|
406
|
8,550
|
Ezra na
Nehemia. Hasa Ezra.
|
538 - 458
- 445
|
.27.
Daniel.
|
12
|
357
|
9,466
|
Daniel.
|
605- 530.
|
.20.
Mithali.
|
31
|
915
|
11,888
|
Solomoni.
|
1,000 -730.
|
.18.
Ayubu.
|
42
|
1,070
|
14,516
|
Ayubu.
|
-
|
.07.
Waamuzi.
|
21
|
618
|
15,389
|
Samweli.
|
1126
|
.10.
2Samweli.
|
24
|
605
|
15,878
|
Zabudi,
Samweli, Daudi, Nathani na Gadi
|
1204
-1035.
|
.06.
Joshua.
|
24
|
685
|
17,227
|
Yoshua,
Elizari na Finehasi.
|
1646 –
1616.
|
.12.
2Wafalme.
|
25
|
719
|
17,483
|
Isaya na
Yeremia, Nathani, Godi, Ido, Ahiya, Yehu - Hasa Yeremia na kundi la manabii.
|
kabla ya
600 – 550.
|
.13.
Nyakati.1.
|
29
|
935
|
18,145
|
Ezra.
|
1279 –
461.
|
.11.
1Wafalme.
|
22
|
817
|
18,605
|
Isaya na
Yeremia, Nathani, Godi, Ido, Ahiya, Yehu.
|
1046
-616.
|
.09.
1Samweli.
|
31
|
810
|
19,423
|
Samweli,
nabii Nathani na Gadi.
|
1204 –
1035.
|
.14.
Nyakati.2.
|
36
|
821
|
19,813
|
Ezra.
|
1279 –
461.
|
.03.
Walawi.
|
27
|
859
|
20,444
|
Musa.
|
|
.05.
Torati.
|
34
|
956
|
20,480
|
Musa.
|
1645.
|
.04.
Hesabu.
|
36
|
1,284
|
27,984
|
Musa
|
|
.01. Mwanzo.
|
50
|
1,535
|
28,219
|
Musa.
|
1688.
|
.23.
Isaya.
|
66
|
1,292
|
28,478
|
Nabii
Isaya mwana wa Amozi.
|
700 –
680.
|
.26.
Ezekieli.
|
48
|
1,273
|
31,002
|
Ezekieli
mwana wa Buzi.
|
593 –
571.
|
.19.
Zaburi.
|
150
|
2,461
|
31,275
|
Daudi -
73, Asafu –12, Wana wa Kora – 10, Mose – 1, Hemani – 1, Ethani – 1, Solomoni
– 2. 50 hazijulikani ni nani mwandishi.
|
1,500 -
450.
|
.24.
Yeremia.
|
52
|
1,364
|
33,077
|
Yeremia.
|
627-580.
|
Sura/
Milango.
|
Mistari.
|
Idadi ya maneno.
|
|||
Jumla:-
|
929.
|
23,070.
|
480,338.
|
Inaonekana wazi kuwa,
kitabu chenye maneno mengi ni Yeremia, ijapokuwa kina sura chache *x3 zaidi,
na kina mistari *x1.8 michache kulinganisha na kitabu cha Zaburi. Kitabu cha
Ayubu kina mistari 1,000+ lakini hakina maneno mengi kulinganisha na vingine
vyenye chini ya idadi ya mistari 1,000.
|
Agano la Kale.
(2/7)
.1. Kitabu chenye
maneno mengi ni:- ……………………..
.2. Aliyeviandika
Vitabu vingi ni:- ………………………………………
.3. Kitabu chenye
mistari mingi ni:- ……………………………………………………………………
.4. Jumla Agano la
kale lina mistari:- ……………………………………
.v. Kitabu chenye
Sura:-.i. Chache sana ni:- …………………………………………..ii. Nyingi sana ni:-
…………………………………………….
.vi. Kitabu cha
katikati ni:- ………………………………………………………………..
.7. Neno la katikati
ni neno lililopo kwenye kitabu gani na ni katika Sura ipi?! (katika agano la
kale tu). ………………………………………………………………………….
.8. Manabii ambao
hawajaandika/hawajahusika katika kuandika vitabu vinavyounda kitabu (Biblia)
ni:- ………………………………………………………………………………………..
.9. Vitabu Vitatu
vyenye Milango/Sura nyingi ni:- ……………………………………………………………………………………………………………..
.10. Vitabu vine vilivyoandikwa karibuni kwa
kuja kwake Yesu ni:- ………………………………………………………………………………………………………………………………..
.11. Vitabu (manabii)
waliotabiri kuja kwa Yesu ni:-
……………………………………………………………………………………………………………………………………………
|
K
Kitabu cha
1-27.
|
Sura/
Milango.
|
Mistari.
|
Idadi ya maneno.
|
Waandishi/
Mwandishi.
|
Kuandikwa. (3/7)
àOn progress…
|
Agano Jipya.
|
|||||
.24. 2Yohana.
|
1
|
13
|
234
|
Yohana.
|
|
.25. 3Yohana.
|
1
|
15
|
237
|
Yohana.
|
|
.18. Filemoni.
|
1
|
25
|
388
|
Paulo.
|
|
.26. Yuda.
|
1
|
25
|
575
|
Yuda.
|
|
.14. 2Thethalonike.
|
3
|
47
|
856
|
Paulo.
|
|
.17. Tito.
|
3
|
46
|
856
|
Paulo.
|
|
.22. 2Petro.
|
3
|
61
|
1,327
|
Petro.
|
|
.16. 2Thimotheo.
|
4
|
83
|
1,459
|
Paulo.
|
|
.13. 1Thethalonike.
|
5
|
89
|
1,563
|
Paulo.
|
|
.12. Wakolosai.
|
4
|
95
|
1,724
|
Paulo.
|
|
.20. Yakobo.
|
5
|
108
|
1,898
|
Yakobo.
|
|
.11. Wafilipi.
|
4
|
104
|
1,933
|
Paulo.
|
|
.23. 1Yohana.
|
5
|
105
|
2,026
|
Yohana.
|
|
.15. 1Thimotheo.
|
6
|
113
|
2,037
|
Paulo.
|
|
.21. 1Petro.
|
5
|
105
|
2,069
|
Petro.
|
|
.09. Wagalatia.
|
6
|
149
|
2,558
|
Paulo.
|
|
.10. Waefeso.
|
6
|
155
|
2,664
|
Paulo.
|
|
.08. 2Wakorinto.
|
13
|
257
|
5,114
|
Paulo.
|
|
.19. Waebrania.
|
13
|
303
|
5,792
|
Inasemekana ni Paulo.
|
|
.07. 1Wakortinto.
|
16
|
437
|
7,746
|
Paulo.
|
|
.06. Warumi.
|
16
|
433
|
8,007
|
Paulo.
|
|
.27. Ufunuo.
|
22
|
404
|
9,914
|
Yohana.
|
|
.02. Marko.
|
16
|
678
|
10,367
|
Marko.
|
|
.04. Yohana.
|
21
|
878
|
14,260
|
Yohana.
|
|
.01. Mathayo.
|
28
|
1,071
|
16,990
|
Mathayo .
|
|
.03. Luka.
|
24
|
1,151
|
18,404
|
Luka.
|
|
.05. Matendo.
|
28
|
1,007
|
18,605
|
Luka.
|
|
Jumla: -
|
260
|
7,957
|
139,603
|
||
Sura/
Milango.
|
Mistari.
|
Idadi ya maneno.
|
|||
Jumla kuu:-
|
1,189.
|
31,027.
|
619,941.
|
||
Katika Agano
Jipya.
(4/7)
.1. Kitabu chenye
maneno mengi ni:- ……………………..
.2. Aliyeviandika
Vitabu vingi ni:- ………………………………………
.3. Kitabu chenye
mistari mingi ni:-……………………………………….
.4. Jumla Agano
Jipya lina mistari:- ……………………………………
.v. Kitabu chenye
Sura:-.i. Chache sana ni:- ………………………………………….
.ii. Nyingi sana ni:-
…………………………………………….
.vi. Kitabu cha
katikati ni:- ………………………………………………………………..
.7. Neno la katikati
ni neno lililopo kwenye kitabu gani na ni katika Sura ipi?! (katika agano
jipya tu). ………………………………………………………………………….
.8. Manabii ambao
hawajaandika/hawajahusika katika kuandika vitabu
vinavyounda kitabu (Biblia) ni:-
………………………………………………………………………………………………………..
.9. Vitabu Vitatu
vyenye Milango/Sura nyingi ni:- ……………………………………………………………………………………………………………..
.10. Vitabu vinne vilivyoandikwa kuhusu kuja
kwake Yesu ni (kutimia kwa unabii):-
………………………………………………………………………………………………………………………………..
|
Biblia kwa Ujumla.
(5/7)
.1. Kitabu chenye
maneno mengi ni:- ……………………………..
.2. Aliyeviandika
Vitabu vingi ni:- ………………………………………
.3. Kitabu chenye
mistari mingi ni:-……………………………………………………………
.4. Jumla Biblia ina
mistari:- ……………………………………
.v. Kitabu chenye
Sura:-.i. Chache sana ni:-………………………………………………….
.ii. Nyingi sana ni:-
………………………………………………..
.vi. Kitabu cha
katikati ni:- ………………………………………………………………..
.7. Neno la katikati
ni neno lililopo kwenye kitabu gani na ni katika Sura
ipi?! (katika Biblia kwa ujumla).
………………………………………………………………………….
.8. Manabii ambao
hawajaandika/hawajahusika katika kuandika vitabu
vinavyounda kitabu (Biblia) ni:-
………………………………………………………………………………………………………..
.9. Vitabu Vitatu
vyenye Milango/Sura nyingi ni:- ……………………………………………………………………………………………………………..
.10. Vitabu vinne vilivyoandikwa karibuni kwa
kuja kwake Yesu na kutimia kwa unabii ni:- ……………………………………………………………………………………………………….
|
K
.i. Kitabu cha
katikati katika Agano la kale tu:-
.a. Kutokana na idadi ya vitabu:-
Vitabu vipo 39. 39 ÷
2 = 19.5.
Kwahiyo, kitabu cha
katikati ni cha 20. Kutokea juu au kutokea chini, nacho ni Mithali.
.b. Kutokana na idadi ya maneno=Katikati mwa Agano la
kale:-
Neno la
katikati, bila kujali kuanzia mwisho au mwanzo ni neno la :-480,338 ÷
2 = 240,169 – neno la katikati.
Najumlisha
kuanzia Mwanzo (kitabu) kuendelea
mpaka nitakapokuta neno la 240,169.
Kutokea Mwanzo (kitabu)- .a. Mpaka Wafalme2 ni maneno 230,137.
.b. Mpaka Nyakati1, ni maneno 248,282.
Kutokea Malaki
(kitabu)
.a. Mpaka Nyakati2 ni maneno 232,056.
.b. Mpaka Nyakati 1 ni maneno 250,201.
Kwahiyo, kitabu cha
katikati hapo ni kitabu chenye neno la 240,169 ni kitabu cha Mambo ya Nyakati 1.
Kitabu hicho kina
maneno 18,145.
NB: si katikati kwake
ndo katikati.
Kwahiyo, natafuta
neno la 240,169 kwa kuchukua idadi zinazokaribia na kuongezea maneno:-
.a. Kwakuwa mpaka
Wafalme2, kuna maneno 230,137, ---
>240,169 - 230,137 = 10,032.
18,145 – 10,032 = 8,113.
->Kwahiyo, nikianza mwanzo wa kitabu
cha Nyakati1 neno la 8,113 ndo katikati.
NB: Nikianzia mwanzo
si kuanzia mwisho.
Sura zipo 29. Kuanzia
Sura ya 1 mpaka ya 29 ndo maneno 18,145. Natafuta neno la 8,113. ->Kuanzia Sura ya 1 mpaka ya 11, ni
maneno 7,993 na mpaka sura ya 12 ni maneno 8,870. 8,113 – 7,993 = 120.
Neno la 120 katika
1Nyakati (kwa kuanzia mwanzo) ndo katikati. Nalo ni:- ‘na’ katika mstari wa 11,
Sura ya 12.
.c. Kutokana na kurasa.
Mlango wa mwisho wa
kitabu cha mwisho (katika agano la kale), Malaki, ni mlango wa-nne, nao
umeandikwa kuwa ni ukurasa wa 985.
Kwahiyo, 985 ÷ 2 =
492.5. = 493. Kitabu chenyewe ni:-
Nyakati 2 mlango wa 20.
---->Kwa idadi ya maneno haijawa
sawa na kurasa na si swa na kwengine kwakuwa, kurasi zingine za Biblia
zimebananishwa maneno zingine zimeachishwa mbali mbali na zingine ni tafsiri
tofauti huwa na maneno mengi au machache na utofauti wa uandishi wa mashairi.
.d. Kwa idadi ya Sura/Milango.
NB: Ni kwa Agano la
kale tu.
929 ÷ 2 = 464.5. Sura
ya katikati ni sura ya:465.
Bila kujali umeanzia juu kwenda chini au
chini kwenda juu.
.a. Kutoka Mwanzo mpaka Esta, ni sura
436, nikiongezea Ayubu inazidi 465
maana ni sura 478.
.b. Kutoka Malaki mpaka Zaburi, ni sura
451. Nikiongezea mpaka Ayubu ni sura
493 - zaidi.
Imeonekana kuwa,
Kitabu cha Ayubu ndo kina sura ya katikati. Sura hiyo ni:-
465 – 436= 29.
Kwahiyo, ni sura ya 29 baada ya kitabu cha Esta nayo ni
sura ya 29 katika kitabu cha Ayubu.
.e. Kwa idadi ya Mistari.
Mstari wa katikati ni
wa:- 23,070 ÷ 2 = 11,535(+1).
.a. Kutoka Mwanzo mpaka (mwisho wa)
Nyakati1 ni mistari 11,121.
.b. Kutoka Malaki
->Mpaka Nyakati2 ni
mistari 11,949. ->Mpaka Ezra ni
mistari 11,128.
->Inaonekana kuwa, Mstari wa
11,535(+1) upo kwe kitabu cha Nyakati2.
Mstari wenyewe
ni:-
11,535 (+1) – 11,121 = 414(+1).
Mstari wa 414(+1) kwe
Nyakati2 upo kwe sura ya:-
->Kuanzia mstari
wa kwanza katika sura ya kwanza Mpaka sura ya 20, kuna mistari 429. Mpaka sura ya 19 mwisho, ni mistari 392.
414 (+1) – 392 = 22(+1) – kutokea mwanzo wa sura ya 20 si kutokea mwishoni.
----->Kwahiyo, Mstari wa Katikati
unapatikana katika Nyakati2 Sura ya 20 Mstari wa 22(+1).
NB: Nimeanzia sura ya
kwanza mstari wa kwanza kwakuwa nimetumia 11,121 maana kama ningelitumia
11,949 nitatokea mstari wa mwisho katika sura ya mwisho kuenda wa kwanza.
---->‘+1’ inamaanisha ‘ongezea moja’.
Ni kwakuwa 23,070 inagawanyika kwa mbili, na namba inayogawanyika kwa mbili
haina nusu/katikati. Mf: Una vidole vitano, havigawanyiki kwa mbili ndo maana
una katikati. Ila kama unavidole sita, huna kidole cha katikati kabisa.
Sura ya katikati, Kitabu cha
katikati kwa idadi ya vitabu na Mstari wa katikati ni Kwa Biblia za tafsiri
zote (isipokuwa Biblia yenye vitabu vya Deuterokanoni na Biblia ya NIV {NIV ni kwa mistari tu! – inamistari michache kama
-7 hivi) }.
|
.ii. Kitabu cha
Katikati katika Agano jipya tu:-
.a. Kutokana na idadi ya vitabu:-
Vitabu vipo 27. 27÷2
= 13.5.
Kitabu cha 14 ndo
kipo katikati. Kwa kuanzia juu au chini. Nacho ni:- Wathethalonike2.
.b. Kutokana na idadi ya maneno = Katikati mwa Agano
jipya.
Bila kujali kuanzia
mwanzo (Mathayo) kuenda mwisho (Ufunuo) neno la katikati ni la:- 139,603 ÷ 2 = 69,801.5 = 69,802 – neno la
katikati ndo la namba hiyo.
Na-jumlisha maneno ya
kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo na ya kuanzia Ufunuo kuja Mathayo kuona
nitakutana na kitabu gani kinachokaribia 69,802 kisha kutafuta sura mstari na
neno.
Kutokea mwanzo wa
kitabu (Mathayo):-
.a. Mpaka Yohana, ni maneno:-
60,021.
.b. Mpaka Matendo ni maneno:-78,626.
Kutokea mwisho wa
kitabu (Ufunuo):-
.a. Hadi
Warumi,maneno 60,977.
.b. Hadi
Matendo,maneno 79,582.
Hapo inaonesha, neno la 69,802 lipo kwe
kitabu cha Matendo. Ndo kitabu cha
katikati.
Kupata neno lenyewe
(2), Sura na mstari. Kwakuwa mpaka
kitabu cha matendo, (kutokea Mathayo) kuna maneno 78,626.
69,802 - 60,021=
9,781.
Neno la 9,781 katika
kitabu cha Matendo nikianzia mwanzo, ndo la katikati.
Mpaka sura ya 14
mwisho kabisa, ni maneno 9,232.
9,781 – 9,232 = 549 –
Neno hilo ni kuanzia mstari wa kwanza wa sura inayofuata ya 14 yaani ya 15.
Neno la katikati ni ‘ya’ katika Sura ya 15,
Mstari wa 30 - Matendo.
.c. Kutokana na kurasa.
Ufunuo ndo kitabu cha
mwisho katika sura ya 22 ukurasa wa 273. 136.5. 137.
Kitabu chenyewe ni Matendo ya Mitume. Sura 15. Na
kwakuwa ni 136.5, ni Sahihi kusema ni Matendo, Sura ya 14, Upande wa2.
(Biblia iliyogawanyika mara mbili kwa kurasa).
NB: Si Biblia zote
zinafanana katika uandishi (upangiliaji). Ijapokuwa ata maneno ni yale yale.
.d. Kutokana na sura/milango.
Jumla kuna sura 260.
260 ÷ 2 = 130(+1) – Sura ya/za katikati.
.a. Kutoka Mathayo mpaka Warumi, ni
milango 133. Mpaka Matendo ni Milango 117.
.b. Kutoka Ufunuo mpaka Wakorinto1 ni
vitabu 127.
Inaonesha kuwa, Sura
ya 130(+1) ipo kwe kitabu cha Warumi.
130(+1) – 117 =
13(+1).
Au 130(+1) – 127 =
3(+1).
13(+1) ni sura
ya 13na14 ya kitabu cha Warumi kuanzia sura ya kwanza.
3(+1) ni sura ya 3na4 ya kitabu cha Warumi
kuanzia/kutokea sura ya mwisho kuenda ya kwanza.
.e. Kwa Idadi ya mistari.
7,957 ÷ 2 = 3,978.5 =
3,979.
Mstari wa 3,979 ndo
wa katikati. Ukitokea mwanzoni na ukitokea mwishoni.
.a. Kutoka Mathayo mpaka Yohana, ni
mistari 3,778.
.b. Kutoka Ufunuo mpaka Warumi, 3,172.
Inaonesha kuwa,
mstari wa 3,979 upo kwe kitabu cha Matendo kilichoandikwa na Luka.
3,979 – 3,778 = 201.
Mstari wa 201 kutoka sura ya kwanza ya kitabu cha Matendo.
Ni katika sura ya 7
mstari wa 8.
Matendo 7: 8 Akampa
agano la tohara; basi Ibrahimu akamzaa Isaka, akamtahiri siku ya nane. Isaka
akamzaa Yakobo. Yakobo akawazaa wale kumi na wawili, wazee wetu.
|
.iii. Kitabu cha
katikati katika Biblia kwa ujumla:-
.a. Kutokana na idadi ya vitabu:-
Vitabu jumla 66.
Kitabu cha katikati ni cha 33.
Kutokea Mwanzo ni
kitabu cha Mika. Kutokea Ufunuo ni
kitabu cha Nahumu. Kwahiyo, ni
vitabu viwili.
.b. Kutokana na idadi ya maneno = Katikati mwa
Biblia.
619,941 ÷ 2 309,970.5 309,971.
Kutoka Mwanzo mpaka:-
.i. Zaburi 333,226.
.ii. Ayubu 301,951.
Kutoka Ufunuo mpaka:-
.ii. Zaburi 317,990.
.ii. Mithali 286,715.
Inaonekana, katikati
ni kwe Zaburi.
Nitaanzia kwa nyuma,
kufikia 309,971.
309,971 - 286,715 =
23,256 – neno katika Zaburi kuanzia nyuma.
Ni Mwanzoni kabisa
mwa sura ya 41. Mwanzo kabisa,
neno la mstari wa ndo lenyewe, ‘1’.
.c. Kutokana na kurasa.
Agano la kale, kurasa
985. Agano Jipya, kurasa 273.
985 + 273 = 1,258.
1,258 ÷ 2 = 629.
Nikianzia Mwanzo
kuenda Ufunuo na Nikianzia Ufunuo kuenda mwanzo, ukurasa wa 629 ni:- Zaburi, Sura ya 69.
.d. Kutokana na
sura/milango.
Jumla kuna sura 1,189
:-
1,189 ÷ 2 = 594.5 =
595.
Sura ya 595 ndo ya
katikati. Ukianzia Mwanzo kuenda Ufunuo na pia, ukianzia Ufunuo kuenda Mwanzo
utapata jibu moja.
(6b/7)
Kutoka Mwanzo mpaka
Zaburi,628.
MpakaAyubu 478.
Kutoka Ufunuo
mpaka Zaburi,
711. Mpaka
Mithali, 561.
Hapa natafuta sura ya
595. Imeonekana ipo kwenye Zaburi.
595 – 478 = 117 - kutoka sura ya 1 kuenda ya mwisho (150).
Au 595 – 561 = 34 –
Kutoka sura ya 150 kwenda sura ya kwanza.
Jibu ni:- Zaburi 117.
.e. Kwa idadi ya
Mistari.
Biblia ina jumla ya
Mistari 31,037.
31,037 ÷ 2 = 15,518.5
= 15,519 – Mtari wa Katikati. Kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo na ata kuanzia
Ufunuo kuja Mwanzo. Mstari wa 15,519 ndo wa katikati.
.a. Kutoka Mwanzo mpaka:-
.i. Zaburi – 16,326. .ii. Ayubu – 13,865.
.b.
Kutoka Ufunuo mpaka:-
.i. Zaburi – 17,162. .ii. Mithali – 14,701.
Inaonekana kuwa,
mstari wa 15,519 upo kwe Zaburi.
->15,519 - 13,865
= 1,654.
Kwahiyo, katika
Zaburi, nikianzia mstari wa kwanza katika sura ya kwanza, mstari wa 1,654 ndo
wa katikati. Nao upo kwenye sura ya 104 mstari wa 23
“Mwanadamu atoka kwenda zake kazini, Na kwenye utumishi wake mpaka jioni” ni
mistari 1,654.
Jibu ni Zaburi 104 mstari wa 23.
|
Kitabu cha 1-39.
|
Sura.
|
Mistari.
|
Maneno.
|
.01. Mwanzo.
|
50.
|
1,535.
|
28,219
|
.02. Kutoka.
|
40.
|
1,213.
|
27,104
|
.03. Walawi.
|
27.
|
859.
|
20,444
|
.04. Hesabu.
|
36.
|
1,284.
|
27,984
|
.05. Torati.
|
34.
|
956.
|
20,480
|
.06. Joshua.
|
24.
|
685.
|
17,227
|
.07. Waamuzi.
|
21.
|
618.
|
15,389
|
.08. Ruthu.
|
4.
|
85.
|
1,901.
|
.09. 1Samweli.
|
31.
|
810.
|
19,423
|
.10. 2Samweli.
|
24.
|
605.
|
15,878
|
.11. 1Wafalme.
|
22.
|
817.
|
18,605
|
.12. 2Wafalme.
|
25.
|
719.
|
17,483
|
.13. Nyakati.1.
|
29.
|
935.
|
18,145
|
.14. Nyakati.2.
|
36.
|
821.
|
19,813
|
.15. Ezra.
|
10.
|
280.
|
6,347.
|
.16. Nehemia.
|
13.
|
406.
|
8,550.
|
.17. Esta.
|
10.
|
167.
|
4,443.
|
.18. Ayubu.
|
42.
|
1,070.
|
14,516
|
.19. Zaburi.
|
150.
|
2,461.
|
31,275
|
.20. Mithali.
|
31.
|
915.
|
11,888
|
.21. Mhubiri.
|
12.
|
222.
|
4,538.
|
.22. Wimb--
|
8.
|
117.
|
2,081.
|
.23. Isaya.
|
66.
|
1,292.
|
28,478
|
.24. Yeremia.
|
52.
|
1,364.
|
33,077.
|
.25. Maombolezo.
|
5.
|
154.
|
2,601.
|
.26. Ezekieli.
|
48.
|
1,273.
|
31,002
|
.27. Daniel.
|
12.
|
357.
|
9,466.
|
.28. Hosea.
|
14.
|
197.
|
4,077.
|
.29. Yoel.
|
3.
|
73.
|
1,656
|
.30. Amosi.
|
9.
|
146.
|
3,304.
|
.31. Obadia.
|
1.
|
21.
|
502.
|
.32. Yona.
|
4.
|
48.
|
1,000.
|
.33. Mika.
|
7.
|
105.
|
2,437.
|
.34. Nahumu.
|
3.
|
47.
|
1,048.
|
.35. Habakuki.
|
3.
|
56.
|
1,171.
|
.36. Sefania.
|
3.
|
53.
|
1,258.
|
.37. Hagai.
|
2.
|
38.
|
967.
|
.38. Zekaria.
|
14.
|
211.
|
5,131.
|
.39. Malaki.
|
4.
|
55.
|
1,430.
|
Jumla:-
|
929.
|
23,070
|
480,338
|
Kitabu cha 1-27.
|
Sura
|
Mistari.
|
maneno.
|
.01. Mathayo.
|
28.
|
1,071.
|
16,990.
|
.02. Marko.
|
16.
|
678.
|
10,367.
|
.03. Luka.
|
24.
|
1,151.
|
18,404.
|
.04. Yohana.
|
21.
|
878.
|
14,260.
|
.05. Matendo.
|
28.
|
1,007.
|
18,605.
|
.06. Warumi.
|
16.
|
433.
|
8,007.
|
.07. 1Wakortinto.
|
16.
|
437.
|
7,746.
|
.08. 2Wakorinto.
|
13.
|
257.
|
5,114.
|
.09. Wagalatia.
|
6.
|
149.
|
2,558.
|
.10. Waefeso.
|
6.
|
155.
|
2,664.
|
.11. Wafilipi.
|
4.
|
104.
|
1,933.
|
.12. Wakolosai.
|
4.
|
95.
|
1,724.
|
.13. 1Thethalonike.
|
5.
|
89.
|
1,563.
|
.14. 2Thethalonike.
|
3.
|
47.
|
856.
|
.15. 1Thimotheo.
|
6.
|
113.
|
2,037.
|
.16. 2Thimotheo.
|
4.
|
83.
|
1,459.
|
.17. Tito.
|
3.
|
46.
|
856.
|
.18. Filemoni.
|
1.
|
25.
|
388.
|
.19. Waebrania.
|
13.
|
303.
|
5,792.
|
.20. Yakobo.
|
5.
|
108.
|
1,898.
|
.21. 1Petro.
|
5.
|
105.
|
2,069.
|
.22. 2Petro.
|
3.
|
61.
|
1,327.
|
.23. 1Yohana.
|
5.
|
105
|
2,026
|
.24. 2Yohana.
|
1.
|
13.
|
234.
|
.25. 3Yohana.
|
1.
|
15.
|
237.
|
.26. Yuda.
|
1.
|
25.
|
575.
|
.27. Ufunuo.
|
22.
|
404.
|
9,914.
|
Jumla:-
|
260.
|
7,957
|
139,603
|
Jumla kuu:-
|
1,189
|
31,027
|
619,941
|
NB: Maelezo
yaliyopita ni kwa upande wa Biblia za mtiririko wa namba kama
nilivyoziandika. Maana Biblia zipo zingine hazina mtiririko kama huo hasa za
kiingereza kama HRB – Hebraic Roots Bible mtiririko ni tofauti kwahiyo,
majibu hayatofanana. Na pia, idadi ya maneno ni kwa Biblia ya kiswahi na yenye
tafsiri ya zamani si tafsiri ya kisasa maana idadi ya maneno ni tofauti
isipokuwa Sura na mistari (kwa Biblia isiyo yenye Vitabu vya Deuterokanoni,
maana katika kitabu cha Esta na Danieli katika Biblia yenye Vitabu vya
Deuterokanoni, kuna sura nyingi na mistari mingi, Kitabu cha Danieli, Sura 14
na mistari iliyoongezeka ni 63 (13) + 42 (14), Kitabu cha Esta, Sura 10 na
mistari iliyoongezeka ni A- 17, B-7, CH – 30, D – 16, E – 24, F – 10 na
maelezo mengine (machache). Kwahiyo, kwa maelezo yaliyopita na haya yajayo ni
kwa Biblia fulani tu na si nyingine/zingine.
Pia, maelezo
yaliyopita na haya yajayo, kuhusu idadi ya maneno, ni bila kuhusisha maneno
yafuatayo:-
.1. ‘Sura ya 3, 4,
23, 22, n.k).
.2. Kitabu cha /
injili ya / waraka wa / yaani bila kuhusisha jina la kitabu husika, mf:
Zaburi, Yohana, Ayubu n.k. – hayajahusishwa katika kuhesabu.
->Namba za mistari
zimehusika.
192
|
Kwa Kifupi. Katikati mwa:-
Kwa kutokana na:-
|
.a. Idadi ya vitabu.
|
.b. Idadi ya maneno.
|
.c. Idadi ya kurasa.
|
.d. Idadi ya Milango/sura.
|
.e. Idadi ya mistari.
(7/7)
|
.1. Agano la kale.
|
Mithali.
|
1Nyakati 12: 11.
|
2Nyakati 2: 20.
|
Ayubu 29.
|
2Nyakati 20: 22(+1).
|
.2. Agano jipya.
|
Wathethalonike2.
|
Matendo 15:30.
|
Matendo 15.
|
Warumi 13na14.
|
Matendo 7:8.
|
.3. Biblia kwa ujumla.
|
Mika na Nahumu.
|
Zaburi 41:1 ‘1’.
|
Zaburi 69.
|
Zaburi 117.
|
Zaburi 104:23.
|
Inaonekana kuwa,
katikati kwa Biblia, ni kwingi hasa kutokana na kigezo cha kutumia kupapata
katikati.
|
|||||
Kwakuwa nikikosea namba moja tu katika sehemu yoyote kwenye
jedwali la kwanza, basi, kutatokea mpishano wa sehemu nyingi. Hili ni toleo la 5, mpaka toleo la nane,
ninauhakika kutakuwa hakuna kosa hata moja. Mpaka sasa kuna kama tatizo la
mistari sita.
|
Kama
kutakuwa na mapungufu, usisite kuniambia. Kama kunamahali kumekaa vizuri, hamna
haja ya kuniambia maana ndo inapaswa.
192p
Comments
Post a Comment