.1/8..!!!Ubatizo kwa maana ya ki-biblia!!!.
Ubatizo
kwa maana ya kibiblia.
Hakuna maana ya moja kwa moja iliyotolewa (kwa
uwazi). Anayejua maana
aseme/atuambie/aniambie.
--->Kusema ubatizo wa maji mengi au machache
vyote ni sawa si kweli.
Na hatakama ni sawa, Ukweli ni kwamba kubatizwa ni
kwa Roho Mtakatifu na ndo kwa moto kwa ushahidi wa andiko/kimaandiko.
Huyo aliyembatizaga Yesu haikuwa kazi yake. Wewe
unayebatiza leo ni kazi yako hiyo?!. Wewe uliyebatizwa, aliyekubatiza ni kazi
yake?!.
Wewe unayesema maji mengi au machache toa maandiko.
Usiwe mtu unaye kariri ya watu na si ya Mungu.
Kwa Mtu anasema Yesu alibatizwa maji mengi.
->Hakuna uhakika kuwa maji ni mengi au laa
(yaliyotumika kumbatizia/kumbatiza).
Eti kisa ni mtoni. Kwani mtoni haiwezekani maji
machache/kidogo/ya kichwa?!.
Au kama ni ya kichwa wangelifanyia nyumbani ee?!
haya, ila Yeye Yesu hakusema Ubatizwe maji mengi na isitoshe usimwige kila
kitu ila msikilize kila kitu.
NB: Kuna tofauti kati ya kusikiliza na kuiga.
Ukimwiga Yesu, si mbaya. Ila unamwigaje?.
Kama
unamwiga Yesu kwakuwa alibatizwa, basi iga na haya.
.i. Usioe (kwa mwanaume), kwa wakike
sijui mimi.
.ii. Usiende shule,
.iii. Usisali kanisani n.k maana yote
hakufanya.
.iv. Usikubali/usiwe mwanafunzi bali
wewe ndo uwe mwalimu na uwe na wanafunzi (sasa sijui wao itakuaje maana nao
kama wanamfata Yesu hawatakiwi wawe na mwalimu).
.v. Yesu alitumia sana kauli za 'Mimi
nasema', na wewe tumia hizo kauli.
n.k <--- Huko ndo kuiga.
Ila, kama unaiga machache, maana yake unaiga yale
unayoyaweza wewe. Basi usiwalazimishe watu waige/wamwige pia. Pia, kama ni
kwakuwa ulipenda wewe ndo ukaiga, usiwalazimishe wengine wapende.
Na kama hawatopenda kuiga usiwahukumu. Kama Yesu
amesema iga hili, sawa. Ila kama hakusema, usimlaumu mtu na usijione kuwa
wewe ni bora sana.
Kuiga so tatizo, ila inategemea unaiganini ili nini.
Umeambiwa ubatizwe kwa maji yoyote?!. Wapi alisema.
Au una/mna msingizia Mungu?!.
Mtu asiibuke na hoja zake bila maandiko.
Yesu amesema/ametuambia/aliwaambia katika Mathayo 28:19 Basi,
enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la
Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;.
Sasa anayesema ubatizwe kwa jina lake ndo umwige?!.
Yeye Yesu alibatizwa kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu?!.
Haya tufanye kama umemwiga, utabatizwa kwa maji mengi. Je, utatumia jina la
nani?!. Kama utatumia lake, sasa umebatizwa kwa jina au kwa maji?!. au kwa
maji na kwa jina?!. kama ni kwa maji na kwa jina, umemwiga au umefanya
yako?!.
Yeye amesema (Yeye, Yeye, Yeye Yesu amesema) Math 28:19 Basi,
enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la
Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
Hapo
hajasema ata neno moja kuhusu kutumia maji yoyote/yeyote.
“†††
Kwa mujibu wa Math 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa
yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho
Mtakatifu;
Ubatizo
ni kitendo/tendo linalofanywa kwa kutumia jina la Baba, na la Mwana na la
Roho Mtakatifu na wanafunzi wa Yesu kwa mataifa ili kuwafanya mataifa kuwa
wanafunzi wake Yesu.
NB: Kwa mujibu wa Mathayo 28:19 ni kwa mujibu wa
Yesu. †††”
|
(bado kuna marekebisho)
|
Lesson Series
|
|
Downloads
|
.1.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
Maana ya ubatizo.
|
|
.2.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.3.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.4.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.5.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.6.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.7.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.8.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.9.
|
Complete Ubatizo 3.
(hakuna bali ipo ubatizo 2 ambayo ni complete, kupata Ubatizo 2 bonya hapa)
|
|
|
Comments
Post a Comment