.3/8.!!!Yesu kutamka kuhusu kupinga
ubatizo wa maji kwa wazi.!!!
(bila kujali ni maji mengi au machache).
.1. Math 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa
wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;.
“†††-->Hapo ni dhahiri
kuwa:-
.1. Yesu hajasema tu/mbatizwe kwa maji bali
kwa jina.
.2. Yesu hajasema, ‘mbatizwe kama mimi’.
.3. Yesu hajasema, tusi/msibatizwe kwa maji.
.4. Yesu hajasema, ‘msibatizwe kama mimi’.
Tuache hayo ambayo
hajayasema, labda kwakuwa yameshasemwa.
.5. Yesu amesema kwa kuagiza/kuwaagiza
wanafunzi wake, wakawafanye mataifa (yote) kuwa wanafunzi wake Yeye.
.6. Ukishakuwa mwanafunzi wa Yesu ndo
unabatizwa.*
.7. Yesu amesema ubatizo uwe kwa jina/majina.
Majina hayo ni yapi?!...†††”.
.2. Marko 10:39 Wakamwambia, Twaweza. Yesu akawaambia, Kikombe
ninyweacho mimi mtakinywea, na ubatizo nibatizwao mimi mtabatizwa; 40 lakini habari ya kuketi mkono wangu wa
kuume au mkono wangu wa kushoto si langu kuwapa, ila wao watapewa waliowekewa
tayari.
Kama Yesu alibatizwa kwa maji mengi, hapo amesema, ata
ukibatizwa kwa maji mengi unaweza usiende mbinguni. Ila hajasema kwamba
usipobatizwa maji mengi utaenda mbinguni.
Marko 10:39.
.1.
Kumwiga Yesu so tatizo.
.2.
Utakapomwiga Yesu usipoenda
mbinguni, usishangae. .3. Yawezekana kubatizwa kama alivyobatizwa
Yesu.
.4.
Kuenda mbinguni/kuwa mbinguni
ni kwa waliowekewa tayari “†††(BILA KUJALI KAMA UMEBATIZWA AU UMEBATIZWA KAMA
YESU AU LAA)†††”.
|
(bado kuna marekebisho, marekebisho yakikamilika, neno hili halitakuwepo)
|
Lesson Series
|
|
Downloads
|
.1.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
Maana ya ubatizo.
|
|
.2.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.3.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.4.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.5.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.6.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.7.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.8.
|
006Ubtz3.17jan17.1/8
|
|
|
.9.
|
Complete Ubatizo 3.
(hakuna bali ipo ubatizo 2 ambayo ni complete, kupata Ubatizo 2 bonya hapa)
|
|
|
Comments
Post a Comment